Karibuni

amu

JF-Expert Member
Aug 8, 2012
16,103
30,991
Hello leo jirani yangu alikuwa ana birthday ya mwanae akaniomba nimpikie pilau.
Fuata nami
IMG_20200506_182742.jpg


mama wawili
 

Attachments

  • IMG_20200506_171303.jpg
    IMG_20200506_171303.jpg
    43.5 KB · Views: 3
Nikaweka hiriki, cinnamon, binzari nyembamba na simba mbili(hapa ile mchuzi masala ilikuwa imeisha huwa napenda kuiweka ili pilau liwe na rangi fulani hivi ya njano) zingatia sana vipimo vya viungo napenda binzari nyembamba kidogo na abdalasini kidogo kiasi.
IMG_20200506_172610.jpg
IMG_20200506_172805.jpg
IMG_20200506_172757.jpg


mama wawili
 
Makoko.
Lengo la kupiga picha nilikuwa sijiamini kwenye kupikia mkaa.
Nina miaka aiseee sijapika pilau na wali kwenye mkaa.
Nikaona naweza kutoa bokoboko ila nimeamini mwalimu ni mwalimu limetoka vile vile navyotaka
IMG_20200506_183049.jpg


mama wawili
 
Back
Top Bottom