Nilianza kwa kukaanga vitunguu naji, vikawa brown nikaweka nyama niliyomarina4mte nikakaanga ikakaangika nikaongeza maji kiduchu tu ili nyama ilainike. Nikakaanga kaanga nikatoa.
Nikaweka hiriki, cinnamon, binzari nyembamba na simba mbili(hapa ile mchuzi masala ilikuwa imeisha huwa napenda kuiweka ili pilau liwe na rangi fulani hivi ya njano) zingatia sana vipimo vya viungo napenda binzari nyembamba kidogo na abdalasini kidogo kiasi.
Nilianza kwa kukaanga vitunguu naji, vikawa brown nikaweka nyama niliyomarina4mte nikakaanga ikakaangika nikaongeza maji kiduchu tu ili nyama ilainike. Nikakaanga kaanga nikatoa.
Makoko.
Lengo la kupiga picha nilikuwa sijiamini kwenye kupikia mkaa.
Nina miaka aiseee sijapika pilau na wali kwenye mkaa.
Nikaona naweza kutoa bokoboko ila nimeamini mwalimu ni mwalimu limetoka vile vile navyotaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.