Karibuni Songea

Nakumbuka miaka ya 2000 kulikua na mbabe mmoja ili alikua anasumbua Songea alikua anaitwa SAIBOG jamaa fulani ili mwili tafu alishawahi piga maaskari sita kwa wakati mmoja. Lakin pia kulikua mbabe na jambazi moja ili laitwaga SUGU alisumbua saana Songea
 
Pazuri sana. Pamoja na kwamba nimezaliwa Kumbwani, huwa naenda nyumbani Parangu, Peramiho kwa baba na Likuyufusi kwa mama. Na nikabahatika kusoma A-level Songea Boys 2002 to 2004.

Kunyumba kwabwina mno!
Juzi Kati nimepita pale makaburi ya lizaboni,nikaona kabuli lenye jina lako !! Nikashtuka kidogo kucheki mwaka kwenye msalaba ni miaka mingi iliyopita!!
 
Mimi nimekaa mikoa 10+ ila ukiniambia sehemu gani bora niliishi basi nitasema songea japo sio kwetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…