Mkuu, mimi naishi Ruangwa na nipo exposed na dunia sana tuVijana wote wa kusini wamepakimbia huko wamejazana mbagala kufanya umachinga..wanarudi huko kuokota korosho tu..wakiuza huwaoni tena mpaka msimu unaofuata.
Kusini kuna fursa ya mazao tu tofauti na hapo kuishi kule ni kujitenga na dunia.
#MaendeleoHayanaChama
Usimwite muongo, yeye ameelezea uzoefu wake kipindi ameishi miaka ya nyuma. Kama sasa ivi kumebadikika haimaanishi haikuwa na hali hiyo aliyosema. Ila tu amenikera anafikiri nyakati hazibadiliki yaaani amekariri rwanga ni ileile. Mm miaka ya 2012 nilienda rwanga kwenye msiba tukawa tunatafuta loji ya kulala asee tulikosa. Lkn najua saivi kutakiwa kumebadilika sana1. Sasa hivi ni 2022, ninaishi Ruangwa na kama ulikuwa unatumia maji ya kwenye kisima kwa kuvuta na kamba basi wewe mwenyewe ulikuwa masikini, ugumu wa maisha yako alafu unasingizia Ruangwa. Ungedrill basi, ardhi ina maji tele. Halafu kwa wiki maji yanatoka hadi mara nne, hiyo ya mara moja kwa wiki, sijui ulikuwa unaishi Ruangwa gani mkuu
2. Unasema umezunguka wilaya nzima hujapata mkate, uongo wa waziwazi
Mimi ukinipa hela nikatafute mkate, dakika tano nyingi nakuletea. Tena sasahivi kuna supermarket(Mini). Shida wewe ni mvivu mkuu
3. Uliishi Ruangwa ukaona fursa mbili tu kilimo cha korosho na ufuta, basi. Hapo ndipo unaponiacha hoi, hujawahi sikia kuhusu madini hata siku moja, na unajihesabiha kuwa umewahi kuishi Ruangwa, kweli? Watu wanaanzisha biashara, PS stations, bars, restaurants, Hoteli, lodges na wanatajirika. Wewe umezubaa tu unasingizia shida ni flow of money, uliza wachaga wanaokaa Ruangwa wakuambie jinsi kulivyo na fursa
4. Barabara ya Nanganga to Ruangwa inajengwa kwa kasi. Sasahivi Ruangwa mjini hakuna mtaa usio na lami, sio lami tu kuna taa za barabarani kabisa. Lodge sasahivi zipo nyingi, restaurants ndo usiseme. Bado siku chache tu Hamissa Mobeto na Christian Bella watahudhuria uzinduzi wa hoteli ya kisasa ya Pride hotel, ambayo ina swimming pool, kila kitu.
5. Kuhusu majungu na fitina za wamwera, basi hao ni wamwera ulioishi nao wewe. Mimi naishi na Wamwera. Wamwera ni watu wema sema tu inaonekana wewe ulikuwa mkorofi sana.
6.
7. Kuhusu mapato ya wilaya mi sijui, sema wewe ishi tu maana mambo mengine hayakuhusu. Pambania maisha yako
Kwa elimu sasa Ruangwa inakuja kwa kasi. Shule ya Advance sio moja tu kama unavyodai, zinafika hadi sita. Na bado kujumlisha madarasa ya Samia, na kuna ujenzi wa madarasa ya maghorofa Shule ya msingi Ruangwa, etc
Vijana wote wa kusini wamepakimbia huko wamejazana mbagala kufanya umachinga..wanarudi huko kuokota korosho tu..wakiuza huwaoni tena mpaka msimu unaofuata.
Kusini kuna fursa ya mazao tu tofauti na hapo kuishi kule ni kujitenga na dunia.
#MaendeleoHayanaChama
Maendeleo gani kwamba hakuna masofa,sheli,tv,shule,hospital,lami,dstv,bar,club,????Bro Rungwa hakuna La maan, kusini maendeleo ni 0
Maendeleo gani kwamba hakuna masofa,sheli,tv,shule,hospital,lami,dstv,bar,club,????
Mkuu utajaribu kutetea hoja yako ila utashindwa tu, maana nimeumbua uongo wako wote ulioandika na huna hoja ya maana sasahivi... utaishia kusema hivyohivyo mara maendeleo zero, mara wamepakimbia ila huna lolote.Ili swali waulize wazawa why wanakimbilia umachinga Dar na maeneo mengine
Dunia ipi hiyo ya wamwera?au upo hapo mgodini namungo?Mkuu, mimi naishi Ruangwa na nipo exposed na dunia sana tu
Kwenye mazao kuko poa hasa ufuta..mbaazi..korosho..choroko.Bro Rungwa hakuna La maan, kusini maendeleo ni 0
Anatapatapa.... hawa ndo wale akisikia stori tu basi anakariri hivyohivyo na yeye anaipeleka kwingineMkuu utajaribu kutetea hoja yako ila utashindwa tu, maana nimeumbua uongo wako wote ulioandika na huna hoja ya maana sasahivi... utaishia kusema hivyohivyo mara maendeleo zero, mara wamepakimbia ila huna lolote.
Kila kabila lipo Dar, halafu uwepo wa watu wa Kusini huko Dar wewe unasema wamepakimbia... mkuu niamini, kujitetea kwa muongo aliyeumbuliwa ni kazi ngumu sana
Message Sent
No no no no no, sipo mgodini, Big NODunia ipi hiyo ya wamwera?au upo hapo mgodini namungo?
#MaendeleoHayanaChama
Ingawa sipajui huko Ruangwa,ila huu mwandiko umeambatana na chuki.Ruangwa, Lindi, Nanjilinji, Kilwa, Tunduru , Nachingwea ni Choka mbaya mara mia niishi Singidani au Masasi why sijasema Mtwara kubaya au Masasi coz kunamzunguko ila apo
Ukweli mchungu Ruangwa ni jehanamu ndogo unaongolea rami kuwekwmwaka wa tano huu porojo tu eti ohh barabara ina daraja nyingi..
Aya sema hapa Ruangwa ina vituo vingapi vya mafuta maana ni wilaya iyo.
Ruangwa ina supermaket ngapi, kampuni za mabasi yanayokuja na kurudu dar, kuna bakery hapo, bank ipo NMB na CRDB tofauti na izo zipo nyingine?
Unasema kuna shule za sekondari advance zaidi ya tano zitaje hapa.
Tunaomba taarifa ya mapato ya wilaya yako tuilinganishe ata na Tabora.
Wilaya nzima utatafuta kajisehemu kakupoa kula ata Pizza hakuna, watu wanakalia majungu tu.
Kwanini Maambukizi ya HIV yapo juu maana wamwela wanapenda kudinyana, uongo, majungu, ujuaji kufatilia maisha ya watu.
Apo karibu na mahakama kuna bar bondeni nlikua nakaa apo sana na mkuu wa mkoa na Mkurugenzi bro Ruangwa hakuna Fursa, utaanzisha kitu kitakufa au unataka nikupe mfano wa project nlizo anzisha zikafa?
Apo kama unaenda halmashauri si kuna fremu mpya mbona biashara zinafungwa?
Nimezunguka vijiji vyote Ruangwa maana kazi yangu ilikua inahusisha field sana, shule zote, ofisi za vijiji, zaanati nimezunguka apo Ruangwa mpka lindi mjini ni hoehae, Kilwa kisiwani, kilwa masoko na kivinje kote Elimu hakuna kusini zaidi ya porojo na udini sana plus umwinyi nyie mtu akifanikiwa mnahamia wote kwake.
Mkuu hili nalo Ni tatizo la mtazamo wako.Vijana wote wa kusini wamepakimbia huko wamejazana mbagala kufanya umachinga..wanarudi huko kuokota korosho tu..wakiuza huwaoni tena mpaka msimu unaofuata.
Kusini kuna fursa ya mazao tu tofauti na hapo kuishi kule ni kujitenga na dunia.
#MaendeleoHayanaChama
Mkuu, umeeleza vizuri sanaMkuu hili nalo Ni tatizo la mtazamo wako.
Hapa Tz karibia kila mkoa watu wake wamejazana Sana tu,mfano wachaga wamejaa Sana kimara,nao tuseme wamepakimbia Kilimanjaro kisa huko hakuna cha maana?
Alafu Kumbuka Lindi ipo karibu na dsm so mtu wa Lindi Ni rahisi kuja Dar kutafuta maisha maana Ni mji mkubwa,na miji mikubwa duniani kote watu hukimbilia huko hasa vijana ili kujikwamua na maisha.
Na ukisema kusini Kuna fursa ya mazao tu,hivi Tanzania hii ukiondoa mini mikubwa kama dsm,Arusha(utalii) na Mwanza biashara,miji iliyobaki Kama Moro,Iringa,Lindi,mtwara nk,nje na kilimo Kuna fursa gani zingine za maana? Tena ni Mara kumi Lindi na mtwara Kuna kilimo Cha mazao mengi mfn,msimu wa mbaazi,wa korosho,wa kunde na choroko,wa mahindi na mpunga,wa maembe (Sasa hivi embe za kusini zimejaa Dar),ambapo inapelekea angalau mzunguko wa fedha unakuwepo kulinganisha na mikoa yenye kutegemea zao moja Kama ndizi!!? Na ndiyo maana si ajabu kuona Lindi na mtwara zipo top ten mwezi huu December ya gdp per capital. Pesa angalau inakutana misimu ya mazao ipo mingi kulinganisha na mikoa/maeneo mengine.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Unatokea mkoa gani wewe nikuchambulie?Bro Rungwa hakuna La maan, kusini maendeleo ni 0
Hivi kuhama sehemu moja na kwenda kujitafutia sehemu nyingine ni kosa?Ili swali waulize wazawa why wanakimbilia umachinga Dar na maeneo mengine
Kwenye mazao kuko poa hasa ufuta..mbaazi..korosho..choroko.
#MaendeleoHayanaChama
Nakuonesha tuExactly ilo sikati ila kwingine ni chenga hamna kitu
Nakazia PictureWapi picha?
We ulitaka wilaya iweje? Iwe na malls, supermarkets, hoteli za nyota tano auSo we umeona hii ni agenda kubwa?
Maajabu ni hoteli kujengwa na mkulima tena kijijini uko ila haibadilishi maana kuwa Ruangwa na Kijijini kuliko sahaulika