Karibuni Ruangwa

Asante sana mkuu kwa ufafanuzi mzuri.
 
Mkuu wakumbushe mradi mkubwa wa Bunu (Graphite) unaendelea kupitia Lindi jumbo project ki ufupi hawa jamaa wana Leseni kubwa ya uchimbaji (ML) means n mgodi mkubwa sasa tegemea makubwa hasa upande wa mzunguko wa kifedha...So far kuna mgodi wa Namungo uliopo kata ya mbekenyera nadhani wachangiaji wengi hawajawahi fika Ruangwa wanaisikia tu
 
Njoo tu machimbo yapo...Kuna sehemu kama Mibure na Namungo huko ni wewe tu...Ukitaka undege John,ukitaka kua broker,ukitaka kuweka maduara tu ni wewe karibu tukinukishe ndugu
mkuu Vipi kuhusu capital nikiwa kama underground ni kiasi Gani Cha kujikimu na vitendea Kazi?
 
Tatizo mikoa ya kusini ina laana na uchawi umezidi,mnarogana sana,hayo unayoita maendeleo ukicompare na maeneo mengine ni takataka tu,kusini haitakuja kuendelea kamwe
Shindwa katika jina la Yesu!
 
1. Sasa hivi ni 2022, ninaishi Ruangwa na kama ulikuwa unatumia maji ya kwenye kisima kwa kuvuta na kamba basi wewe mwenyewe ulikuwa masikini, ugumu wa maisha yako alafu unasingizia Ruangwa. Ungedrill basi, ardhi ina maji tele. Halafu kwa wiki maji yanatoka hadi mara nne, hiyo ya mara moja kwa wiki, sijui ulikuwa unaishi Ruangwa gani mkuu
2. Unasema umezunguka wilaya nzima hujapata mkate, uongo wa waziwazi
Mimi ukinipa hela nikatafute mkate, dakika tano nyingi nakuletea. Tena sasahivi kuna supermarket(Mini). Shida wewe ni mvivu mkuu
3. Uliishi Ruangwa ukaona fursa mbili tu kilimo cha korosho na ufuta, basi. Hapo ndipo unaponiacha hoi, hujawahi sikia kuhusu madini hata siku moja, na unajihesabiha kuwa umewahi kuishi Ruangwa, kweli? Watu wanaanzisha biashara, PS stations, bars, restaurants, Hoteli, lodges na wanatajirika. Wewe umezubaa tu unasingizia shida ni flow of money, uliza wachaga wanaokaa Ruangwa wakuambie jinsi kulivyo na fursa
4. Barabara ya Nanganga to Ruangwa inajengwa kwa kasi. Sasahivi Ruangwa mjini hakuna mtaa usio na lami, sio lami tu kuna taa za barabarani kabisa. Lodge sasahivi zipo nyingi, restaurants ndo usiseme. Bado siku chache tu Hamissa Mobeto na Christian Bella watahudhuria uzinduzi wa hoteli ya kisasa ya Pride hotel, ambayo ina swimming pool, kila kitu.
5. Kuhusu majungu na fitina za wamwera, basi hao ni wamwera ulioishi nao wewe. Mimi naishi na Wamwera. Wamwera ni watu wema sema tu inaonekana wewe ulikuwa mkorofi sana.
6.
7. Kuhusu mapato ya wilaya mi sijui, sema wewe ishi tu maana mambo mengine hayakuhusu. Pambania maisha yako
Kwa elimu sasa Ruangwa inakuja kwa kasi. Shule ya Advance sio moja tu kama unavyodai, zinafika hadi sita. Na bado kujumlisha madarasa ya Samia, na kuna ujenzi wa madarasa ya maghorofa Shule ya msingi Ruangwa, etc
 
Naunga mkono hoja yako..mimi naishi hapa lindi mjini ila kazi zangu nyingi nakuja huko ruangwa na sasa tutawaletea mradi mkubwa wa maji kutokea nyangao...nashauri halmshauri nyingine walau zitenge bajeti waandikie dokezo hata kila mwaka tu taa za barabarani walau 50...ili miaka kumi miji iwe na taa sio unaingia wilayani unakuta giza kama nachingwea
 

Wewe pamba coz ni kwenu ila wanaopajua uwadanganyi, apo center hospital nimekaa sana
 
Wewe pamba coz ni kwenu ila wanaopajua uwadanganyi, apo center hospital nimekaa sana
Sawa mkuu, naona umeishiwa point zaidi ya huo uongo uliouandika hapo juu
Weekend njema lakini cha msingi UJUMBE UMEFIKA
 
Sawa mkuu, naona umeishiwa point zaidi ya huo uongo uliouandika hapo juu
Weekend njema lakini cha msingi UJUMBE UMEFIKA

Ruangwa, Lindi, Nanjilinji, Kilwa, Tunduru , Nachingwea ni Choka mbaya mara mia niishi Singidani au Masasi why sijasema Mtwara kubaya au Masasi coz kunamzunguko ila apo

Ukweli mchungu Ruangwa ni jehanamu ndogo unaongolea rami kuwekw
mwaka wa tano huu porojo tu eti ohh barabara ina daraja nyingi..

Aya sema hapa Ruangwa ina vituo vingapi vya mafuta maana ni wilaya iyo.

Ruangwa ina supermaket ngapi, kampuni za mabasi yanayokuja na kurudu dar, kuna bakery hapo, bank ipo NMB na CRDB tofauti na izo zipo nyingine?

Unasema kuna shule za sekondari advance zaidi ya tano zitaje hapa.

Tunaomba taarifa ya mapato ya wilaya yako tuilinganishe ata na Tabora.


Wilaya nzima utatafuta kajisehemu kakupoa kula ata Pizza hakuna, watu wanakalia majungu tu.

Kwanini Maambukizi ya HIV yapo juu maana wamwela wanapenda kudinyana, uongo, majungu, ujuaji kufatilia maisha ya watu.

Apo karibu na mahakama kuna bar bondeni nlikua nakaa apo sana na mkuu wa mkoa na Mkurugenzi bro Ruangwa hakuna Fursa, utaanzisha kitu kitakufa au unataka nikupe mfano wa project nlizo anzisha zikafa?

Apo kama unaenda halmashauri si kuna fremu mpya mbona biashara zinafungwa?

Nimezunguka vijiji vyote Ruangwa maana kazi yangu ilikua inahusisha field sana, shule zote, ofisi za vijiji, zaanati nimezunguka apo Ruangwa mpka lindi mjini ni hoehae, Kilwa kisiwani, kilwa masoko na kivinje kote Elimu hakuna kusini zaidi ya porojo na udini sana plus umwinyi nyie mtu akifanikiwa mnahamia wote kwake.
 
Nakazia kwanini wafanyakazi wengi wanatoka mikoani kama mabaa, ujenzi kwakua Wakazi ni wavivu hawapendi kazi ngumu
 
Shida unakurupuka sana, punguza jazba
Lami imeongelewa muda mrefu sana, ni kweli. Ila nina wasiwasi ujenzi ulipoanza tu basi na ww ukahama Ruangwa maana sasahivi ujenzi upo ukingoni kabisa na haifiki mwakani April, mambo yote ni swafii. Nashangaa wewe unatapika pumba humu kama mtu aliyeishi Ruangwa miaka ya 90 vile.
Serious, unaulizia vituo vya mafuta Ruangwa, mzima kweli wewe? Ruangwa kuna vituo vya mafuta kibao. Yaani Ruangwa mjini tu vipo vingi hadi vinakera.. mi sijui vingapi, kaviangalie hata Google Maps basi uache kupayuka
Sasahivi unaulizia bakery wakati Royal Pub wameanzisha bakery kitambo tu na kila siku wanauza mikate mingi kwa wanaruangwa ukikosa basi wewe mwenyewe ndio ZOBA. Nikikuambia wewe ni mvivu mkuu, unakataa.
Halafu hata sitaki unitajie project zako ulizozianzisha zikafeli maana kwenye maisha kuna watu wana bahati mbaya tu, kila wanachoanzisha kinafeli. Pengine wakati unakaa Ruangwa ulikuwa na Nyota Chafu tu maana watu kibao wameanzisha biashara na wamefanikiwa. Au labda huna akili za biashara.
Supermarket ipo moja tu, hiyohiyo inakidhi mahitaji ya wanaruangwa kwa sababu wamwera hawazaliani ovyo.
Kwa shule kama una hela unampeleka mwanao private tu, na anasoma anafaulu. Pia iko wazi kabisa kuwa Wamwera hawapendi kusoma kwani nani hajui hilo?
Unaongelea zahanati mkuu, we uliishi Ruangwa gani. Kwanza sasahivi hospitali ya wilaya sasahivi imekuwa zahanati, ikajengwa hospitali moja bomba sana. Zahanati zipo nyingi we mwenyewe tu ulikuwa mvivu kutafuta
Shule za Advance kwa haraka haraka naweza kutaja Lucas Maria, Nkowe, Mbekenyera, Kassim Majaliwa, Mandawa na nyingine nisizozijua.
Pato la wilaya mi sijui, halafu kama wewe unaona ni dogo basi angalia hata na population ya Ruangwa. Nimeshakuambia Wamwera hawazaliani ovyo.
Kama ulitafuta sehemu za kula bata hata na kupoa na mademu halafu ukakosa basi wewe ni ZOBA sana. Yaani Kidia Hotel, Ruangwa Executive Lodge, Royal Pub, Ifram Lodge, Natii Pub na vibaa vyote hivi vya mjini ulishindwa kupata. Ruangwa Supermarket kwa nyuma na mbele kuna sehemu ya kula bata.
Sasahivi Pride Hotel ndo inakamilika na ina swimming pool nzuri, ningekutumia picha ila bahati mbaya ninatumia tablet sio simu. Naona tu jau kwenda nayo kupiga picha
Kama we uliiona Ruangwa jehannum basi pole, sisi tunaiona pepo
 
Vijana wote wa kusini wamepakimbia huko wamejazana mbagala kufanya umachinga..wanarudi huko kuokota korosho tu..wakiuza huwaoni tena mpaka msimu unaofuata.

Kusini kuna fursa ya mazao tu tofauti na hapo kuishi kule ni kujitenga na dunia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…