Karibuni katika tamasha la kusifu na kuabudu

Karibuni katika tamasha la kusifu na kuabudu

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,592
Habari wanajamvi wenzangu


NINAWAKARIBISHA KWENYE TAMASHA LA UIMBAJI WA UPAKO NA MGUSO WA MUNGU KUKUTEMBELEA USIKOSE JPILI HII YA TAREHE 26/05/2013 PALE
HOUSE OF PRAYERS KINONDONI MKWAJUNI

KUANZIA SAA 8:00 MCHANA NA KUENDELEA



WAIMBAJI WATAKAOKUWEPO SIKU HIYO NI NEEMA GOSPEL CHOIR AIC CHANG'OMBE,
CORNERSTONE GOSPEL SINGERS, REVIVAL TEMEKE, WAIMBAJI BINAFSI NA WENGINEO WENGI







KUTAKUWA NA MAMBO MBALIMBALI NA VITU VITAPIGWA MNADA

NYOTE MNAKARIBISHWA SANA

MAELEKEZO YA KUFIKA KWENYE TAMASHA:

ukitaka kufika kwenye Tamasha Hilo kwa walio Dar es Salaam
kama unatokea mwenge shukia kituo cha Kinondoni Mkwajuni, rudi nyuma kidogo
ingia geti la CCM waulize madreva teski watakuonesha jengo hilo, na kama unatokea
Magomeni basi ukifika kinondoni mkwajuni vuka barabara nenda geti la ofisi za CCM uliza madreva teski watakuonesha mahali jengo lilipo HOUSE OF PRAYER


HAKUNA KIINGILIO NI MIGUU YAKO TU, NA WAKARIBISHE NA WENGINE

MNAKARIBISHWA SANA KWA PENDO LA AGAPE

Kwa Mawasiliano zaidi twanga hapa : 0764 038517 (usibeep)

COPY: Mamndenyi, Filipo, Nicas Mtei, Bakulutu, @gfsonwin, @Lyagwa, stevoh, @Kipaji halisi, Paloma,
Mtambuzi, Arushaone, Erickb52, Mentor, @Firstlady, Passion Lady, Ruttashobolwa, mathematics,
Dio, Mwita Maranya, @catherine denzi, amu, Asprin, @Mkaliwakitaa, steven masaku jr, na
wengineo wengi ambao sijawataja hapa nanyi mnakaribishwa

 

Attachments

  • neema nembo.jpg
    neema nembo.jpg
    6.9 KB · Views: 61
  • neema.jpg
    neema.jpg
    9.9 KB · Views: 154
Last edited by a moderator:
Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Bwana wa mabwana leo ainuliwe,
Bwana,
(Tuimbeni sote kwa sauti kubwa )
Tunakuimbia bwana tunakuimbia Yesu
Tunakuimbia bwana tunakuimbia Yesu
 
kwaaaa haaa haaa haaaa tehe tehe tehe umenifurahishaje best na umeshaniingiza katika upako kabla siku yenyewe haijafika asante sana kwa wimbo mzuri huu ubarikiwe kwani naupendaje mie
Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Bwana wa mabwana leo ainuliwe,
Bwana,
(Tuimbeni sote kwa sauti kubwa )
Tunakuimbia bwana tunakuimbia Yesu
Tunakuimbia bwana tunakuimbia Yesu
 
Unakaribishwa bestito kwani utapata UPAKO NA MGUSO TOKA KWA MUNGU usishangae sana hilo tangazao best kama uko dar karibu sana tena sana
UPAKO NA MGUSO,hii ni brand name mpya ktk tasnia hii
 
mm ni muimbaji wa kikundi na choir pia, mpendwa nitafurahi kama utakuwepo usijali kuchelewa best nimetoa namba hapo kwenye tangazo utanipigia nitakuja kukuchukua usijali best wangu karibu sana
Duh ladyfurahia ni muimbaji? Ntakuepo japo kwa kuchelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom