DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,970
Kwahiyo wewe sio muumini wa "ulipo tupo"?Swali la kitoto, sipaswi kulijibu!
Kwahiyo wewe sio muumini wa "ulipo tupo"?Swali la kitoto, sipaswi kulijibu!
Hapana, zile zilikuwa mbwembwe tu!ACT pia walisema wangemleta Malema kwenye uzinduzi wao,
Hivi malema alihudhuria uzunduzi wa ACT kama ilivyotangazwa??
Tupo pamoja mwanangu, toa utaratibu vizuri basi, 2020 tunachukua nchi kabla jogoo hajawika,Asante MunguNiwaahidi kuwa chama hiki si cha ukanda bali ni katika kuenzi azimio la Arusha la mwaka 1967 (Siasa ya Ujamaa & KUJITEGEMEA)
We endelea kukaa huko mafichoni ukiwa unategemea Kuna mtu atababaika Na wewe mmojaUjinga huu,chama kipya afu cha azimio la Arusha,kinagawa tishet,kanga,kofia,pombe,pilau na nauli??? Mmetoa wapi hizi hela
We endelea kuufikiria ufisadi Tu, chama kipya oyeee oyeeee oyeeee oyereeee, oliliiluiliiiiiiii aiiiiiii aiiiiiiiHiyo 30,000??? haiendani na jina la Azimio la Arusha
We saa zote unamuota mwaname mwenzio, kimbolaa weeeKuna tetesi kuwa EL ameanza maandalizi ya kuchukua kadi...swali...je, utamfuata?
Ntakutumia tiketi ya ndege kabisa, utalala hoteli nzur kabissaMimi nipo Bukoba na nataka kadi. Je Nauli mtanirudishia yote?
Mmh uzii unachanganya...Tunatafuta wanachama wa kukidhamini chama tunachotaka kukisajili hivi karibuni jina la chama (tunapendekeza kiitwe - Arusha Declaration Alliance kinachofuata misingi ya Azimio la Arusha. Tafadhali tukutane;
MUDA: 02 Juni, 2016 kuanzia saa 8 mchana
UKUMBI: RAMADA ENCORE HOTEL, City Centre, Opposite Exim Tower (Posta Mpya) - Dar es Salaam.
MGENI WA HESHIMA: JULIUS MALEMA (MB) kutoka Afrika ya Kusini
MAWASILIANO: +255 654 828025 (Ms. Warda - Katibu Mwenezi)
NB: T-shirt, Kofia, Khanga, Chakula, Vinywaji na Nauli (Tshs. 30,000/=) vitatolewa kwa watakaohudhuria