Karibuni Chama kipya cha Siasa - Arusha Declaration Alliance

Karibuni Chama kipya cha Siasa - Arusha Declaration Alliance

Status
Not open for further replies.
Cck kilikuwa makonda na Sitta.

Cha Arusha kitakuwa Bashe na Genge lake
 
Azimio la Arusha ni zao la Tanu kisha CCM kakifungulieni Lumumba Mgeni rasmi mwiteni Jecha
 
Hiki ni chama cha WAZAWA wenye uchungu na nchi hii, tumejikita na kujipambanua katika misingi ya Azimio la Arusha. Chama kinajiendesha kwa michango ya Wanachama, pia tumejikita kwenye Tumejikita katika kilimo .

*** SALAMU: AZIMIO LA ARUSHAAAA.....
TUNAITIKIA: NI LETU SOTEEEE>>>>> huku ukishika kidevu
Ha ha mkuu umenichekesha sana.kwanini tushike kidevuu na siyo kichwa au sikio?
 
Karibuni sana, tuikomboe nchi yetu pendwa Tanzania kwa pamoja. Tumedhamiria kushinda uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020.
Kati yenu kuna wakaskazini wangapi
 
Tunatafuta wanachama wa kukidhamini chama tunachotaka kukisajili hivi karibuni jina la chama (tunapendekeza kiitwe - Arusha Declaration Alliance kinachofuata misingi ya Azimio la Arusha. Tafadhali tukutane;

MUDA: 26 Novemba, 2016, Jumamosi, kuanzia saa 8 mchana.

UKUMBI: RAMADA ENCORE HOTEL, City Centre, Opposite Exim Tower (Posta Mpya) - Dar es Salaam.

MGENI WA HESHIMA: JULIUS MALEMA (MB) kutoka Afrika ya Kusini
MAWASILIANO: +255 654 828025 (Ms. Warda - Kaimu Katibu Mwenezi & Mr. Frank - 0715734747 Kaimu Mweka Hazina)

NB: T-shirt, Kofia, Khanga, Chakula, Vinywaji na Nauli (Tshs. 380,000/=) vitatolewa kwa watakaohudhuria tu.
LIDUMU AZIMIO LA ARUSHA
Mbona mmeishagawana vyeo vyote?
 
Mikutano ya hadhara mtukufu kakataa je wanachama watapatikanaje ili muweze kukidhi vigezo vya kusajiliwa?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom