Karibuni Chama kipya cha Siasa - Arusha Declaration Alliance

Karibuni Chama kipya cha Siasa - Arusha Declaration Alliance

Status
Not open for further replies.
HUYO NI WARDA GANI Muenezi hasye jua majukum yake? au mnaund chama cha wakina niniiiii hapa nchini mmeona vilivyopo havitoshi mkaja na chakuuza nnnnnnnnnnnn? anapigiwa simu anajibu shombo?
 
Dr Magufuli rais wangu nitafurahi sana kama utaondoa ruzuku za vyama vya siasa,tunanyonywa mno,naona wajanja wengi wameshaona hiyo ndio fursa pekee ya kuvuna pesa wasizostahili,tija ktk taifa hawana. Ondoa ruzuku haraka sana rais wangu uliyetukuka tuone kama tutaendelea kuona utitiri wa vyama vya siasa nchini.
 
[QUOTE="bushland, post: 16034903, member: 277utumia tiketi ya ndege kabisa, utalala hoteli nzur kabissa
Duuuuuuuu hii itakuwa chama cha freemason. Hela yote hiyo mmetoa wapi.[/QUOTE]
Endelea kulala sisi tunapasua mawimbi
 
Zitakuwa mbinu za Kaskazin hizi, CHADEMA imewashinda mnaanzisha mpya ndo muweze?
 
hiki sio chama km mnataka kujua ukweli pigeni hiyo namba anae pokea ni changudoa mmoja mzoefu ukipga akipokea nauliza we unashi ngapi? ukimuuliza kuhusu nini anauliza hujui km umepiga cm ya malaya mzuri kuliko wote hapa arusha.
 
Tunatafuta wanachama wa kukidhamini chama tunachotaka kukisajili hivi karibuni jina la chama (tunapendekeza kiitwe - Arusha Declaration Alliance kinachofuata misingi ya Azimio la Arusha. Tafadhali tukutane;

MUDA: 02 Juni, 2016 kuanzia saa 8 mchana

UKUMBI: RAMADA ENCORE HOTEL, City Centre, Opposite Exim Tower (Posta Mpya) - Dar es Salaam.

MGENI WA HESHIMA: JULIUS MALEMA (MB) kutoka Afrika ya Kusini
MAWASILIANO: +255 654 828025 (Ms. Warda - Katibu Mwenezi)

NB: T-shirt, Kofia, Khanga, Chakula, Vinywaji na Nauli (Tshs. 30,000/=) vitatolewa kwa watakaohudhuria
Eee bhana mkuu Mwigamba , shule basi tena ? nauli wekundu watatu ! natafakari itakavyokuwa mkuu .
 
Kova ana kesi na Nzowa
Simon Siro hatujui umahiri wake.....hebu tujaribu kwenda huko kwenye ufunguzi...kama kuna mabomu ..basi tujuwe ....a corp is a corp.Kile kitabu cha Mkenya "Son of a Woman" munakikumbuka..???
 
Tunatafuta wanachama wa kukidhamini chama tunachotaka kukisajili hivi karibuni jina la chama (tunapendekeza kiitwe - Arusha Declaration Alliance kinachofuata misingi ya Azimio la Arusha. Tafadhali tukutane;

MUDA: 02 Juni, 2016 kuanzia saa 8 mchana

UKUMBI: RAMADA ENCORE HOTEL, City Centre, Opposite Exim Tower (Posta Mpya) - Dar es Salaam.

MGENI WA HESHIMA: JULIUS MALEMA (MB) kutoka Afrika ya Kusini
MAWASILIANO: +255 654 828025 (Ms. Warda - Katibu Mwenezi)

NB: T-shirt, Kofia, Khanga, Chakula, Vinywaji na Nauli (Tshs. 30,000/=) vitatolewa kwa watakaohudhuria
Eti mkuu nani yuko nyuma yenu??
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom