Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,034
- 2,063
- Thread starter
- #61
kama kuna elimu ya kushare ni vyema tukajulishanaHuna unachojua kuhusu hii fani, acha nikuache tu muendelee kudanganyana.
Tuambie tusichokijua mkuu
#hance mtanashati
kama kuna elimu ya kushare ni vyema tukajulishanaHuna unachojua kuhusu hii fani, acha nikuache tu muendelee kudanganyana.
Kama kipato ni kidogo inaweza saidia kufikia ndoto maana wale marubani wa jeshi ni taifa linagharamia na huwa wanasoma mambo mengi na current so if it can make sense ingia mapema huku ukisuka mipango ushikwe mkono huko huko jeshini.hii pia nimeambiwa na wengi
nitalifikilia
Ushauri nenda YouTube mtafute somebody mgogo anza kutafuta mawasiliano nae atakupa mwangaza zaidi kuliko hao wa USA na Europe, kwanza mtanzania mwenzio pili kijana kama wewe, alipitia changamoto nyingi kuliko kawaida.Hutu atakuongoza vema.Asante mkuu
Familia yangu haipo vizuri sana kiuchumi na ninahofia hicho kinaweza kuwa kikwazo cha kufikia ndoto zangu
Lakini kwa sasa nategemea sana ufadhilii japo nao ni ngumu kupata
Ila nimewasiliana na baadhi ya pilots wakongwe hasa kwa nchi za Marekani na Canada wengi wanasema waliingia kwenye hii career kupitia jeshi
hiki chuo kipo Johannesburg South Africa
hapo amenitajia baadhi ya qualifications
poa alinielekeza organisation zinazotoa mikopo ila nyingi ni kwa watu wa SA
Kuna Zanzibar na Terminal 1 JNIAHicho chuo kiko wapi nimpeleke binti yangu?
Kwa sasa Tz marubani ni wengi kuliko NdegeUpo sahihi, nimepata PPL 43 airschool port Alfred CPL zero four Flight school Marget KZN, usipo kuwa na pesa yote kwa wakati mmoja unazidi poteza pesa kwenye accommodation, medical insurance na aviation insurance, bado ukimaliza na ma masaa yako 250 lakini mara nyingi ni zaidi ya hapo maana kutakua na lessons zingine za kurudia especially kabla hujaenda solo unakuta kampuni ya ndege inakutaka uwe na masaa 1500 wakuajiri wakati karibu kila saa angani umelipia kati ya laki tano mpaka sita, zoezi ni zito, kuna waalimua wangu wa ndege mpaka leo wanatafuta kazi
changamoto hiiKwa sasa Tz marubani ni wengi kuliko Ndege
ATCL kuna siasa na kujuana sana
Auric, Tropical, Safarilink ndege zao nyingi ni C208 Caravan ambazo huko ndo watu wanaenda fanya bure kupata masaa