Mkuu kabla ya hii hatua kwanza ungeanzisha registration book..ili tujue walio single na double ni wakina nani..utaweza kumfungukia misschagga..kumbe ameshabebwa zamani na Freeland ikawa utata
Mkuu kabla ya hii hatua kwanza ungeanzisha registration book..ili tujue walio single na double ni wakina nani..utaweza kumfungukia misschagga..kumbe ameshabebwa zamani na Freeland ikawa utata
samahani mkuu Invisible kwa usumbufu..........najua unatizama taarifa ya habari saa hii.......
lakini.......hii imekuwaje ikatokea nimemquote huyu........wakati hata kwenye hii thread hayupo.........?......
mimi niliona nimemquote peterchoka...........what happened...........?.......