Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Tulia dawa ikuingie.Yanga inayopumulia mashine au yanga ipi hiyo..?
Mmmhhh
Mimi peke yangu, unasemaje kwani?
Yaani ninakuambi Yanga uchumi ukiwa mzuri hawa mikia ni hamna kitu.Naomba tu Yanga wapate mmiliki hisa Tajiri kabisa Hawa Simba mpaka Mo atawakimbia.Kinachonifurahisha
Yaan matajiri wanasoteshwa na masikini hapa
kelphin kepph
Duh!.😂😂😂😂Mimi ni tokea nipo mtoto.Mpira ipo kwenye my blood.Ninahisi nina hormone za kiume zimezidi kidogo .Hahahahahahah
Sina huo muda hasira zangu nazimalizia hapa. Labda hawa tff wako hapaPeleka Malalamiko yako Sehemu husika ,usipoteze Muda kutukana huku Jamiiforums Mkuu.
pazia mkuu lile
Yaani ninakuambi Yanga uchumi ukiwa mzuri hawa mikia ni hamna kitu.Naomba tu Yanga wapate mmiliki hisa Tajiri kabisa Hawa Simba mpaka Mo atawakimbia.
braza naona kimya umekimbia hahahGoaaaa