Siwalaumu simba wala yanga tatizo ni tff tu, yanga kucheza mechi nne home ni ujinga vilevile simba kufikisha viporo 9 nayo ni ujinga ila hakuna ujinga wa klabu hapo ni ujinga wa tff, mfano juzi kuahirishwa kwa mechi ya simba na yanga tatizo ni tff haiwezekani yanga aingie uwanjani saa 11 akawa yupo sahihi na simba saa 1 akawa yuko sahihi ilibidi mmoja wao apewe point za mezani lakini tff sio kushindwa tu kumtambua aliyekosea bali hadi wao hawajui kwanini game iliahirishwa. NARUDIA TENA TFF NDIO TATIZOJibu hoja kwa hoja je ushawah ona ligi gan dunian timu moja inacheza mechi nne mfululizo ikiwa home? Alaf hapo hapo et Simba inabebwa