Karia ameihangaikia Simba tu kwa kipindi chake chote

Hoja dhaifu kivipi? Wakati kanuni ya kuruhusu wachezaji 10 inapita kule TFF ni Simba tu labda Na Azam waliokuwa Na uwezo wa kusajili wachezaji 10, hivyo TFF ilitumika vibaya kuimarisha timu moja tu kwenye ligi. Simba yenye kikosi kipana chenye wachezaji mahiri 10 wa kigeni Na mahiri wa ndani ndiyo icheze Na Ruvu, Ihefu, polisi, mtibwa, mbeya city nk. Upuuzi sawa Na upuuzi mwingine.

Kwa hiyo Yanga na Ihefu kutokuwa na uwezo wa Kusajili ilaumiwe TFF?
 
Innocent bashungwa yanga kindaki ndaki waziri wa sanaa utamaduni na michezo taarifa ilitoka kwenye wizara yake na kuvuruga mambo yote kwenye Derby ya simba na yanga ivi tff ina ubavu gani kuivimbia serikali?
Ndio mana umeona mpaka Leo innocent bashungwa kasema sababu ilikua nini ya kuhairisha mech?
Na nani mwenye ubavu wa kwenda mbele serikalini na kuhoji kwann mmehairisha mechi nan uyo
Mwisho mnasema kariha

Hoja ya kusajili wachexaji kumi
Ivi azam awana uwezo wa kusjili wachezaji 10 kweli?
Wana uwanja bora miundo mbinu bora washindwe kusajili wachezaji 10

Yanga ina kauli mbiu ya timu ya wananch itajengwa na mwananch mwenyewe ina maana wanajiweza wakipiga mahesabu yao Yale ya karatasi kila mwananch wa wa yanga akichanga sijui 1000 sijui 2000 watatengeneza pesa ndefu sana billion na ushehe na akuna atakae sumbua kwenye usajili
Wakafungua account michango ikaanza mwisho wanapata million 4 sijui 5

Akuna janjajanja kwenye mpira MPE mwenye pesa timu isonge
Manji kila mtu aliona alikua na pesa
Simba tulikua hoi
Baada ya mo kuingia ndio tumerudi
Gsm amwage mzigo wa maana asajili uone afute wapiga pesa kwisha
Kwahiyo baba yako akitembea Na Mke wako hupaswi kukataa uovu huo kwakuwa ni baba yako?
 
Aliyekulipia Ada ya shule nampa pole kwa hasara aliyoipata.

Yaani ulitaka Karia achukue pesa wanazotoa Simba kwa ajili ya usajili aziletee Wachezaji kwenye Timu ya yanga?
Hiki unachosema hakina tofauti na kiongozi mwenye PhD kutunga sheria kuwa anaetakata kuwania nafasi yake lazima awe na PhD pia. Huku akijia kuwa hata bungeni kuna wabunge wenye elimu ndogo kabisa lakini wanatunga na kupitisha sheria. Karia alipoona kuwa Yanga wanatembeza bakuli na simba wanae mo wakapendekeza timu kuweza kusajili wachezaji 10 wa nje hata baada ya wadau wengi akiwemo waziri mwenye dhamana na michezo kuonyesha wasiwasi na jambo hilo kwenye hatima ya soka letu hasa timu ya taifa. Lakini kwakuwa Karia alizuunguukwa na viongozi wakubwa was serikali ambao wanaitakia mema simba ilisababisha waziri wa michezo akubali kwa shingo upande wachezaji 10.
 
Lakini kuibeba kwake Simba Sc, kumeifanya thamani ya Ligi kupanda kwa kiasi chake ikilinganishwa na wakati wa Malinzi ambaye aliihangaikia Yanga na haikufanya chochote cha maana.
Wacha uongo, kupanda kwa soka LA nchi kunapimwa kwa kipimo cha FIFA ranking. Nchi yetu iko nafasi ya ngapi kwenye viwango vya FIFA? Karia ilipandisha kiwango kutoka nafasi gani kwenda nafasi IPI?
 
Aliyekulipia Ada ya shule nampa pole kwa hasara aliyoipata.

Yaani ulitaka Karia achukue pesa wanazotoa Simba kwa ajili ya usajili aziletee Wachezaji kwenye Timu ya yanga?
Wewe uko kwenye mahaba ya timu, Mimi niko kwenye mahaba ya mchezo wenyewe. Kipindi cha karia ndicho kipindi pekee ambacho kulikuwa na malalamiko mengi na makubwa kutoka kwa wadau wa mpira. Maamuzi ya kibabe
 
Halafu analeta matusi ya nguoni eti kaisaidia sana Yanga. Msomali ana dharau kama za Sabaya.
 
Kwahiyo baba yako akitembea Na Mke wako hupaswi kukataa uovu huo kwakuwa ni baba yako?
Ndio ilitakiwa sasa wewe kama wewe nenda mbele ya bashungwa kamuulize kwann mechi ulipeleka mbele bila shaka ata kujibu ukilalamika hapa ni 0 mzee
 
Hatujui ni kwasababu gani Karia anajivunia mafanikio ya soka yaliyopatikana wakati wa kipindi cha cha miaka 4. Binafsi sioni mafanikio ya soka kwenye kipindi chake zaidi ya Karia kuhakikisha kuwa Simba inakuwa bingwa kwa kipindi chake chote na inafanya vizuri kwenye mashindano ya African Champions Cup. How?

Baada ya Karia kuingia madarakani TFF,

1. Simba ilirahisishiwa kuingia kwenye mfumo mpya wa uendeshaji wa club bila kufuata njia zote zinazotakiwa bila kupewa adhabu yoyote.

2. Baada ya Simba kuonekana kuwa ina pesa za kusajili kuliko vilabu vingingine kwenye ligi, Simba ilirahisishiwa kusajili wachezaji 10 wa kigeni.

3. Simba ilirahisishiwa kumpata mchezaji yeyote waliyemtaka akiwemo Morrison bila kufuata kanuni.

4. Simba ilipangiwa ratiba kwenye ligi ambayo ni rafiki sana, yaani iliruhusiwa kuwa na viporo hadi 9 kwenye ligi.

5. Simba haikuathiliwa na maamuzi ya waamuzi viwanjani.

6. Alihakikisha kuwa Simba haina malalamiko yoyote kwa TFF

Hali hii ilisababisha Simba iwe comfortable kwenye mashindano yote iliyoshiriki wakati wote wa Bw Karia. Simba ilikuwa comfortable hata pale muda wa mechi yake Na Yanga ulipobabadilishwa ghafla bila kutolewa sababu za maana.

Siwezi kusema wakati wa kipindi chake nchi ilipiga hatua kwenye mpira, lahasha, sema tu alipata bahati akakuta viongozi wengi wa serikali ni wanachama au shabiki wa Simba.
Ni muda sahihi sas y akili zako kuzitumia kwa Mambo mengine ya faida tofaut na huu utopolo
 
Ndio ilitakiwa sasa wewe kama wewe nenda mbele ya bashungwa kamuulize kwann mechi ulipeleka mbele bila shaka ata kujibu ukilalamika hapa ni 0 mzee
Kanuni za soka mchezo unasogezwa mbele kwa utaratibu fulani. Utaratibu huo anaujua Karia sio Bashungwa. Karia atoe ushahidi wa namna gani alimfahamisha Bashungwa kuhusu utaratibu huo wa kusigeza mechi mbele lakini Bashungwa akaukataa. Je, serikali ilimuandia Karia barua kuhusu kuisogeza mechi mbele au ilitumika njia gani kuwasilisha maombi ya kuisogeza mechi mbele? Je, ni kamati gani ya TFF ilikaa kuyajadili maombi hayo ya Mh. Waziri Bashungwa?
 
Ni muda sahihi sas y akili zako kuzitumia kwa Mambo mengine ya faida tofaut na huu utopolo
Kama yapi vile, nayafanya haya kama sehrmu ya wajibu yangu kwenye starehe yangu ya mpira. Wengine hatuna starehe nyingine nikiona kila mtu analia na TFF eti kwaajili ya mahaba ya timu moja sioni raha. Hatuwezi kulalamika kwa miaka 4 tena.
 
Timu laini ndo ipi hiyo kwenye Vpl
Hakuna mjinga nchini wa kumdanganya, tena Azam ashukuriwe kwa kuonyesha ligi. Ubovu wa tff unakuwa dhahiri. Wakati timu zinatembeza bakuli TFF iliacha kuwalipa waamuzi ili wakutane Na pochi nene la mo, nani hajui.
 
Hivi Karia kumng'ang'inia Juma Mgunda lazima awe kocha wa timu ya Taifa wakati timu yake ya coastal ikielekea kushuka daraja maana yake nini? U home boy? Usimba? au?
 
Karia amesababisha uchaguzi wa TFF uwe na vionjo vya simba na yanga bila sababu, historia itamhukumu.
 
Back
Top Bottom