Simba ipewe heshima yenye kustahili

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
14,183
16,193
Hiki ninachokiandika ndio ukweli wenyewe mimi si mshabiki wala mpenzi wa simba mimi ni mwanachama wa coastal union "Mangushi" "wana coastal wali ng'ombe" ya tanga,msije mkasema coastal ni ndugu wa simba kamwe hata siku.

Simba wamehi kuiteremsha daraja coastal mjini tanga coastal wakihitaji pointi moja tu,Heri yanga kipindi cha uongozi wa marehemu mzee tabu mangara waliweza kuisadia coastali union kucheza mechi ya kirafiki mapato yake yaliisaidia coastal union kuongeza pesa kununua jengo la klabu yao.

Leo niwape siri kidogo wale wenye kusema wallace karia ni simba si kweli karia ni coastal union damu kulia lia kama kubeba timu angeibeba coastal union.

Nije kwenye mada simba ndio timu inayotuletea heshima ya wageni waandamizi wa soka ulimwenguni kama si duniani na hawaji kutalii wala kwenye tamasha la simba day wala mwananchi ila kwenye mechi rasmi ya kimashindano.

Niwaambie tu waandishi wachambuzi tuondoe ushabiki tuipe simba heshima yake bila simba matukio kama haya tungeyasikia tu viongozi wa juu wakija kwenye vikao vyao.

Tuipe simba heshima naona hawapewi heshima inayostahili kama wawakilishi maalumu kutoka ukanda wa cecafa.

Tarehe 20.10.2023 tutamshuhudia raisi wa kandanda ulimwenguni kipara sio kipya wala january makamba wala guadiola ila ni infantino wa Fifa akiwa na raisi wa Caf je hao hawakuja kwa ajili ya mechi ya simba?.

Ilitakiwa mijadala ya vipindi vya michezo vyote viinzungumzie simba bila kufananisha na wawakilishi ambao bado hawajaleta mafanikio hapa nchini.

Ni mengi ya kueleza lakini yangu ni haya machache simba ipewe heshima inayostahili.
 
Chuki zimezidi mpk zimefunga akili za watu waliokua smart siku hizi kwa ushabiki wamegeuka maandazi....

Watake wasitake...Waunge mkono wasiunge....Waongee wasiongee...

Simba ndo timu inayojulikana kwa sasa kwa ukanda huu wa wa cecafa....

Simba imeleta heshima kubwa kwenye soka letu na ukanda mzima.........

Anaebisha abishe basi kama hajafungwa na ihefu.... 😀 😀 😀 😀 😀
 
Hiki ninachokiandika ndio ukweli wenyewe mimi si mshabiki wala mpenzi wa simba mimi ni mwanachama wa coastal union "Mangushi" "wana coastal wali ng'ombe" ya tanga,msije mkasema coastal ni ndugu wa simba kamwe hata siku.

Simba wamehi kuiteremsha daraja coastal mjini tanga coastal wakihitaji pointi moja tu,Heri yanga kipindi cha uongozi wa marehemu mzee tabu mangara waliweza kuisadia coastali union kucheza mechi ya kirafiki mapato yake yaliisaidia coastal union kuongeza pesa kununua jengo la klabu yao.

Leo niwape siri kidogo wale wenye kusema wallace karia ni simba si kweli karia ni coastal union damu kulia lia kama kubeba timu angeibeba coastal union.

Nije kwenye mada simba ndio timu inayotuletea heshima ya wageni waandamizi wa soka ulimwenguni kama si duniani na hawaji kutalii wala kwenye tamasha la simba day wala mwananchi ila kwenye mechi rasmi ya kimashindano.

Niwaambie tu waandishi wachambuzi tuondoe ushabiki tuipe simba heshima yake bila simba matukio kama haya tungeyasikia tu viongozi wa juu wakija kwenye vikao vyao.

Tuipe simba heshima naona hawapewi heshima inayostahili kama wawakilishi maalumu kutoka ukanda wa cecafa.

Tarehe 20.10.2023 tutamshuhudia raisi wa kandanda ulimwenguni kipara sio kipya wala january makamba wala guadiola ila ni infantino wa Fifa akiwa na raisi wa Caf je hao hawakuja kwa ajili ya mechi ya simba?.

Ilitakiwa mijadala ya vipindi vya michezo vyote viinzungumzie simba bila kufananisha na wawakilishi ambao bado hawajaleta mafanikio hapa nchini.

Ni mengi ya kueleza lakini yangu ni haya machache simba ipewe heshima inayostahili.
Nimepoteza tu muda wangu kusoma haya mashairi ya singeli.
 
Tangu Simba ianze kushiriki mashindano ya kimataifa kwa miaka ya karibuni, Timu nyingi zilizo kuja kucheza na Simba zili lalamikia mambo ya kishirikina uwanjani na kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
Baadhi ya watendaji wa caf wali puuzia na wengine walikua na wasiwasi kwakua timu zinazo lalamika zilikua zikiongezeka.

Baada ya Timu ya Simba kuthibitika kufanya vitendo vya kishirikina pale South Africa hadharani tena ugenini vili shangaza ulimwengu wa soka.

Kitendo kile si tu kili thibitisha malalamiko yaliyo tolewa awali na timu mbalimbali zilizo kuja kucheza kwa Mkapa dhidi ya Simba ila vili tia aibu Taifa na kuifanya Simba ifahamike kwa maswala ya kichawi zaidi kuliko soka la uwanjani.

Mpaka sasa Viongozi wengi wa Caf na shirikisho lenyewe (CAF) kwa siri na mizaha wanaitambua Simba kama timu ya washirikina. Uo ndio umaarufu na heshima waliyo fikia wenzetu Kolo wizard.
 
Tangu Simba ianze kushiriki mashindano ya kimataifa kwa miaka ya karibuni, Timu nyingi zilizo kuja kucheza na Simba zili lalamikia mambo ya kishirikina uwanjani na kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
Baadhi ya watendaji wa caf wali puuzia na wengine walikua na wasiwasi kwakua timu zinazo lalamika zilikua zikiongezeka.

Baada ya Timu ya Simba kuthibitika kufanya vitendo vya kishirikina pale South Africa hadharani tena ugenini vili shangaza ulimwengu wa soka.

Kitendo kile si tu kili thibitisha malalamiko yaliyo tolewa awali na timu mbalimbali zilizo kuja kucheza kwa Mkapa dhidi ya Simba ila vili tia aibu Taifa na kuifanya Simba ifahamike kwa maswala ya kichawi zaidi kuliko soka la uwanjani.

Mpaka sasa Viongozi wengi wa Caf na shirikisho lenyewe (CAF) kwa siri na mizaha wanaitambua Simba kama timu ya washirikina. Uo ndio umaarufu na heshima waliyo fikia wenzetu Kolo wizard.
Vyema kwa kulitambua hilo!
 
Tangu Simba ianze kushiriki mashindano ya kimataifa kwa miaka ya karibuni, Timu nyingi zilizo kuja kucheza na Simba zili lalamikia mambo ya kishirikina uwanjani na kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
Baadhi ya watendaji wa caf wali puuzia na wengine walikua na wasiwasi kwakua timu zinazo lalamika zilikua zikiongezeka.

Baada ya Timu ya Simba kuthibitika kufanya vitendo vya kishirikina pale South Africa hadharani tena ugenini vili shangaza ulimwengu wa soka.

Kitendo kile si tu kili thibitisha malalamiko yaliyo tolewa awali na timu mbalimbali zilizo kuja kucheza kwa Mkapa dhidi ya Simba ila vili tia aibu Taifa na kuifanya Simba ifahamike kwa maswala ya kichawi zaidi kuliko soka la uwanjani.

Mpaka sasa Viongozi wengi wa Caf na shirikisho lenyewe (CAF) kwa siri na mizaha wanaitambua Simba kama timu ya washirikina. Uo ndio umaarufu na heshima waliyo fikia wenzetu Kolo wizard.
Mahaba yakizidi akili hufutika kichwani;

Pamoja na yote unahisi kwann caf hao hao wakaamua timu ya washirikina ndio izindue mivhuano, au ni michuano ya uchawi?
 
Mahaba yakizidi akili hufutika kichwani;

Pamoja na yote unahisi kwann caf hao hao wakaamua timu ya washirikina ndio izindue mivhuano, au ni michuano ya uchawi?
Caf wanachotaka ni mchezo kuwa na mashabiki na kwa Tanzania mashabiki wapo na Lengo lao Limetimia hasa kwa ukanda huu wa Afrika.
Wangeweza kufanyia Morocco kwakua wanatuzidi kwa kila kitu ndani na nje ya uwanja kuanzia utawala timu bora mpaka mashabiki.

Sera za Caf na FIFA ni ku utawanya mpira wa miguu sehemu zote.
Wanajua Timu mwenyeji ni timu ya kishirikina zaidi ila wao kwasasa kipaumbele chao ni vibe viwanjani.
 
Back
Top Bottom