TheCrocodile
JF-Expert Member
- May 31, 2021
- 1,360
- 3,742
Pumzika kwa amani mwadhama Kardinali Pengo. Tuonane mbinguni asubuhi iliyo njema.
=====
Ninayo masikitiko makubwa kuwatangazieni kwamba leo tarehe 19/02/2026 saa 04:00 usiku huu mpendwa baba yetu Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, ameitwa nyumbani kwa Baba wa Milele akiwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam.
Taarifa za mazishi zitawajia mara baada ya mipango kukamilika. Tumwombee apumzike kwa amani.
Raha ya milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa Milele Umwangazie, Apumzike kwa Amani; Amina.
Katika Kristo,
Thaddaeus S. Ruwa'ichi OFM Cap
Askofu Mkuu wa Dar es Salaam
Soma Pia
=====
YAH: TANGAZO LA KIFO
Ninayo masikitiko makubwa kuwatangazieni kwamba leo tarehe 19/02/2026 saa 04:00 usiku huu mpendwa baba yetu Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, ameitwa nyumbani kwa Baba wa Milele akiwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam.
Taarifa za mazishi zitawajia mara baada ya mipango kukamilika. Tumwombee apumzike kwa amani.
Raha ya milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa Milele Umwangazie, Apumzike kwa Amani; Amina.
Katika Kristo,
Thaddaeus S. Ruwa'ichi OFM Cap
Askofu Mkuu wa Dar es Salaam
Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam ametaja maradhi ambayo yalikuwa yakimsumbua Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo, ambayo ndiyo chanzo hasa cha kifo chake. Ametaja maradhi ya Moyo pamoja na changamoto ya uti wa mgongo ndiyo sababu.
Soma pia
- Wont be the same
- sababu kifo cha pengo
- Replies: 6
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko
