mkuu miaka 14 ni mtoto. kabakwa, assume ni binti yako, hata kama kalikubali, ila kamerubuniwa, kuanzia miaka 17 na kuendelea angalau ndo unaweza kusema hajabakwa, ndo maana serikali imeweka umri kuanzia miaka 18, refer kesi ya Lulu,Mkuu huyo mnayesema ni mtoto hakubakwa wala nini. Inaelekea kalitongozwa bila ya ubishi kakaenda kupanda gari kakakutana mna mheshimiwa hotelini kakatoa mzigo tena kakitoa ushirikiano wa kutosha. Kalipomaliza kakapewa pesa ya kujikimu 700,000/= badala ya 67000 then kakasepa. After sometimes kakarudia tena na tena na hulipwa, sasa kameshakua na kamejua noti, sasa kanataka kiinua mgongo (jumla) kalipwe kasepe. Mambo hayo!!! Magazeti yanaweka chumvi sana ila according to my lights that is naked truth.
mkuu wanavunja ungo na miaka 4 siku hizi.Inasikitisha wachangiaji wengi humu mnmshambulia uyu mtoto, nakuacha huyu baba. seriously, this says a lot about us waTZ. kweli mtoto wa miaka 14, unamuita msichana!!!! wengine ktk umri huu hata ungo anakuwa hajavunja, jamani get serious.
Hizi hadithi za mtu fulani mkubwa sana(jina linahifadhiwa) zinakera kusoma...kwanini usifanyike uchunguzi usio na shaka na kisha wamwagwe hadharani waumbuke? Mbona kashfa ya Clinton haikuandikwa 'mtu mmoja (jina linahifadhiwa) wa state house anatuhumiwa kufanya A,B,C na mtumishi (jina linahifadhiwa) wa ikulu? Kwanini tusifike mahali kijiko kikaitwa kijiko?
JUMA kAPUYA
Constituent: Urambo Magharibi
JUMA kAPUYA
Constituent: Urambo Magharibi
Ni JUMA KAPUYA huyo hakuna mwingine. Lkn haka kasichana katakuwa kalitoa kenyewe kwa ridhaa yake na ndo maana kakarudi tena. Utata umekuja kalivyoambiwa mzee kanasa. Miaka 16 kwa hapa dar huyo mbona mkubwa,watotot wanabikiriwa miaka 4!!!!
Wabunge wanakera sana,ipo siku popobawa ata........la kwa ufuska wenu.Hili sakata itakua mheshimiwa ameacha kumhudumia huyu binti ndiyo maana ameamua kumchafua mbunge,inaonekana kameliwa sana na wapambe ndio wanampa kichwa!hawa ni matapeli alivyopewa laki 7 mbona hakusema?na nyie wabunge mkome ndio maana mnasema pesa haziwatoshi
Alipotakiwa kupewa 67 elfu akapewa 700000 mtt akajua sasa ntapewa mamilioni akaenda kuachia tena k loo hata kenyewe kalinogewa sana
Mimi naona ubakaji hapo haupo kwakuwa binti mwenyewe alikuwa anafunga safari kumfuata kigogo huyo sehemu mbali mbali na ameshapokea pesa zake nyingi. Angeripoti mara alipoingiliwa mara ya kwanza kidogo inge make sense.