Kapuya Matatani: Adhibitiwa na kitoto kinachodai alikibaka, akakiambukiza virusi

Ni JUMA KAPUYA huyo hakuna mwingine. Lkn haka kasichana katakuwa kalitoa kenyewe kwa ridhaa yake na ndo maana kakarudi tena. Utata umekuja kalivyoambiwa mzee kanasa. Miaka 16 kwa hapa dar huyo mbona mkubwa,watotot wanabikiriwa miaka 4!!!!
 
na imani yake pia yaruhusu wake zaidi, ndio kwanza ana wawili halali, muacheni aongeze tu! ni kulaaniwa, hivi ile makitu hainaga mzee eeeeeeee????? puuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Mkuu huyo mnayesema ni mtoto hakubakwa wala nini. Inaelekea kalitongozwa bila ya ubishi kakaenda kupanda gari kakakutana mna mheshimiwa hotelini kakatoa mzigo tena kakitoa ushirikiano wa kutosha. Kalipomaliza kakapewa pesa ya kujikimu 700,000/= badala ya 67000 then kakasepa. After sometimes kakarudia tena na tena na hulipwa, sasa kameshakua na kamejua noti, sasa kanataka kiinua mgongo (jumla) kalipwe kasepe. Mambo hayo!!! Magazeti yanaweka chumvi sana ila according to my lights that is naked truth.
mkuu miaka 14 ni mtoto. kabakwa, assume ni binti yako, hata kama kalikubali, ila kamerubuniwa, kuanzia miaka 17 na kuendelea angalau ndo unaweza kusema hajabakwa, ndo maana serikali imeweka umri kuanzia miaka 18, refer kesi ya Lulu,
 
Inasikitisha wachangiaji wengi humu mnmshambulia uyu mtoto, nakuacha huyu baba. seriously, this says a lot about us waTZ. kweli mtoto wa miaka 14, unamuita msichana!!!! wengine ktk umri huu hata ungo anakuwa hajavunja, jamani get serious.
mkuu wanavunja ungo na miaka 4 siku hizi.
 
Alipotakiwa kupewa 67 elfu akapewa 700000 mtt akajua sasa ntapewa mamilioni akaenda kuachia tena k loo hata kenyewe kalinogewa sana
 
Hizi hadithi za mtu fulani mkubwa sana(jina linahifadhiwa) zinakera kusoma...kwanini usifanyike uchunguzi usio na shaka na kisha wamwagwe hadharani waumbuke? Mbona kashfa ya Clinton haikuandikwa 'mtu mmoja (jina linahifadhiwa) wa state house anatuhumiwa kufanya A,B,C na mtumishi (jina linahifadhiwa) wa ikulu? Kwanini tusifike mahali kijiko kikaitwa kijiko?

hapo sawa kabisa mkubwa
 
Viongozi wa nchi hii wote kama wamelogwa vile...... Mara vyeti feki,mara Pembe za ndovu,mara madawa ya kulevya na sasa ubakaji.Maskini nchi yangu.
 
Ni JUMA KAPUYA huyo hakuna mwingine. Lkn haka kasichana katakuwa kalitoa kenyewe kwa ridhaa yake na ndo maana kakarudi tena. Utata umekuja kalivyoambiwa mzee kanasa. Miaka 16 kwa hapa dar huyo mbona mkubwa,watotot wanabikiriwa miaka 4!!!!

Hamna ridhaa hapo. she is below 18!
 
Hili sakata itakua mheshimiwa ameacha kumhudumia huyu binti ndiyo maana ameamua kumchafua mbunge,inaonekana kameliwa sana na wapambe ndio wanampa kichwa!hawa ni matapeli alivyopewa laki 7 mbona hakusema?na nyie wabunge mkome ndio maana mnasema pesa haziwatoshi
Wabunge wanakera sana,ipo siku popobawa ata........la kwa ufuska wenu.
 
MUNGU ameamua kuliokoa Taifa lake.. Kufikia 2015 hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe jingine.. Hapo Tanzania mpya itazaliwa.....
 
Mimi naona ubakaji hapo haupo kwakuwa binti mwenyewe alikuwa anafunga safari kumfuata kigogo huyo sehemu mbali mbali na ameshapokea pesa zake nyingi. Angeripoti mara alipoingiliwa mara ya kwanza kidogo inge make sense.

Huu ni ubakaji live.Hata kama binti angekuwa na umri zaidi ya huo Mh hawezi kuepuka kosa la kubaka.Kwanza ametumia wadhifa wake kumduh huyo binti kitu ambacho ni kinyume cha sheria.Pili amemduh huyo binti kwa kutumia uyatima wake kitendo ambacho hakina tofauti na kumlala mwanamke uliyemulewesha kwa kilevi kwa hiyo anakuwa anafanya kitendo hicho pasipo uhiyari.
 
Back
Top Bottom