View attachment 120977
Style hii ya kucheza muziki nimeipenda sana. Wadau nyie vipi?
Huyu prof laana,hilo jimbo hakuna chama cha upinzani
View attachment 120977
Style hii ya kucheza muziki nimeipenda sana. Wadau nyie vipi?
alimpa kila kitu hela na mlaloWEMBAMBA WA RELI TRENI INAPITA....
ila huyo mbunge hatare akampa mtoto wa watu laki 7 na kumlala juu
Ibara ya nane ya katiba Chadema inaruhusu kupora mke/mme wa mtu na kama mke/mme atahoji kimbiza yeye na watoto.
Wanaharakati,wanasheria wapenda haki na wananchi kwa ujumla tusiposimama na binti huyu mdogo na yatima damu yake itatulilia! Tuache ubinafsi na kutojali tuanze kupaza sauti sasa sheria ichukue mkondo na inaeleweka adhabu ya makosa hayo ya kubaka mtoto.
AKUDO IMPACT+
View attachment 120977
Style hii ya kucheza muziki nimeipenda sana. Wadau nyie vipi?
Kabinti kalinogewa inaelekea ndo maana kakamfuata tena. Kamemaindi kalivoambiwa foma minista amewekeza kwenye gridi ya Taifa. Nani anapenda mgao wa umeme???
kwa habari ilivyo wote wana shida kabsaaaa!waziri wa zamani na huyo binti!mimi ni mzazi lakini nachoona hapo ni upuuzi kabisa,alipobakwa (kwa maelezo yake on which sikubaliani nae kwani inaonyesha alireact alipoambiwa baba huyo ana HIV),alipaswa kushtaki kitu ambacho anadai alifanya na walipofika polisi wakakubaliana jambo ambalo alilitekeleza,aliposema wauze gari ili amalizie shule hao mabinti walitaka huyo baba awahudumie mpaka kufa kwao?WOTE WAPUUZI KABISA.
habari ya 2011 imetufikia leo 2013, ni hatari sana, wapo mabinti wengi wadogo wanakutana na adha hizo na nikiri kuwa taarifa nyingi hazijulikana, ila tatizo ni kubwa,wapo waalimu wa sekondari kwa mfumo wetu wa kutishana kufelishana wanajilia mizigo taratiibu bila mtu kujua, wafanya biashara nao hawajabaki nyuma, chips mayai hizi zinamaliza nguvu kazi ya taifa, ma'house girl nao wakitoka bush wakija mjini wamemaliza darasa la 7 wakiwa na umri wa miaka 13 au 14 wanafundishwa usafi, wanafundishwa kupika, na hatimaye virutubisho vya nyumbani kwa bosi vinaanza kukaneemesha, mabosi macho yanawatoka, vinaanzia kuliwa hapo hapo, sad.....Huyo binti ni yatima, na hata hao wanaomlea hawana uchungu kama ulivyo wewe.
Hivi kwa umri wa huyo binti huoni kitendo cha kwenda Polisi tayari ilikuwa ni hatua kubwa? Hebu vaa viatu vyake halafu upate matatizo ukiwa katika umri huo, hali ya uchumi mbaya na tena huna Wazazi wala ndugu wa karibu achilia mbali akili ya kufanya maamuzi makubwa (kwa kuzingatia umri).
Tena huyo binti una ujasiri mkubwa sana, kwa Tittle ya mbakaji kitendo cha yeye kukubali kuchukua hatua zoote hizo ni jambo la kupigiwa mfano. Hapo ndipo alipofikia, inapasa wengine waanzie hapo kumsaidia, inaweza kuwa wewe na mimi hata kwa kuandika hapa kumsapoti nayo ni hatua kubwa sana.
Lakini ilani ya chama si inaruhusu. Ongera Mh. Waziri wa zamani kwa kutekeleza ilani ya chama.
Sijui lini hili gazeti litafungiwa? Yaani uharo tangu mwanzo mpaka mwisho.Hizi hadithi za mtu fulani mkubwa sana(jina linahifadhiwa) zinakera kusoma...kwanini usifanyike uchunguzi usio na shaka na kisha wamwagwe hadharani waumbuke? Mbona kashfa ya Clinton haikuandikwa 'mtu mmoja (jina linahifadhiwa) wa state house anatuhumiwa kufanya A,B,C na mtumishi (jina linahifadhiwa) wa ikulu? Kwanini tusifike mahali kijiko kikaitwa kijiko?
Hawa wasichana nao,
Kwanini mara ya kwanza hakusema;
Hapa kilichomfanya achanganyikiwe ni ile kuambiwa kuwa mzee ana maradhi;
Haya ndo watoto tuliowazaa sisi wenyewe lakini;
Sijui hata maneno ya kusema hapa.