Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Habari,
Mwanafunzi wangu alohitimu kidato cha nne mwaka jana na kufaulu kwa kupata Div II ya point 21 (ana C zote) amepangwa kwenda ualim chuo cha Songea kwa masomo ya Maths/ Chem ila yeye alitaka kwenda Advance.
Amenipigia simu kuniomba ushauri cha kufanya na familia yake haina uwezo wa kumsomesha private.
Anaweza kusaidika vipi huyu mtoto?
Mwanafunzi wangu alohitimu kidato cha nne mwaka jana na kufaulu kwa kupata Div II ya point 21 (ana C zote) amepangwa kwenda ualim chuo cha Songea kwa masomo ya Maths/ Chem ila yeye alitaka kwenda Advance.
Amenipigia simu kuniomba ushauri cha kufanya na familia yake haina uwezo wa kumsomesha private.
Anaweza kusaidika vipi huyu mtoto?