Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Pata picha ingekuwa bongoEnyi TCRA & BASATA ya Marekani mshughulikieni Kanye. Amewabipu
Pata picha ingekuwa bongoEnyi TCRA & BASATA ya Marekani mshughulikieni Kanye. Amewabipu
I think J na Kanye ni ma best friend.It's crazy !
Afu Kanye hathubutu ku-mess na Jayz na Beyonce.
Ngoja Taylor Swift amjibu
Kwani nani kasema ni picha halisi jamani mbona mnapenda kuleta ujuaji kwenye vitu vilivyo wazi.Ila hizo sio picha halisi.. I mean ni art na hao walioko kwenye hio clip sio wahusika wenyewe...
But very creative
Pata picha ingekuwa bongo
Hizo ni halisiKwani nani kasema ni picha halisi jamani mbona mnapenda kuleta ujuaji kwenye vitu vilivyo wazi.
Haahhahahahha dahhhh. Hii kali.
Donald Trump uchi mmmhhh.
Huyo Jamaa hata na nguo bado anaonekana......
Mlalo wa kim nimeupenda
Kanye hamnazo.
Huyo mwanaume mkuu..Mi macho yametua kwa kimWa donald je!
Na we ndo walala hivyo?Kim kajibinua hadi raha