Kanye West azua kizaa zaa

Ingekuwa tz,video isgafungiwa na wale BASATA,pia Kanye angekuwa ndani kwa sheria ya mtandao kama yule dogo wa Arusha.
 
Hapa ndio napata picha kuwa BASATA walimuonea AY na lile songi lake lililopigwa marufuku kuonyeshwa kwenye luninga,na kama Kanye West angekuwa hapa bongo wangemnyonga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom