Kanyaga haitafika Mbali

Utasubiri sana anguko. Jua litakuwakiwa sana ukisubiri anguko la wengine. Vijana wavivu ndio mara nyingi mna wivu usio wa maendeleo. UTATESEKA SANA KUSUBIRI ANGUKO,NA HALITATOKEA
Huyo wa kukanyaga tu
 
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!

Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.

Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.

Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo

Bdozen
KwNi laxima atoe yeye si mtoe nyinyi sinazoelimisha
 
Dimondi bana....juzi kati katuambia..tetema..vijana wakatetema
.kidogo vijana inama...haooo wakainama sasa anatuambia kanyaga sasa cjui nani atakanyagwa
 
Mpaka taifa stars wakatetema. Wakaenda afcon.

Sasa tunasubiri kuwakanyaga watani zetu Kenya kesho kutwa.
Dimondi bana....juzi kati katuambia..tetema..vijana wakatetema
.kidogo vijana inama...haooo wakainama sasa anatuambia kanyaga sasa cjui nani atakanyagwa
 
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way!
Katika mambo anayofanya au nyimbo anazotoa amefeli kabisa na hawezi kutoa pure bongo fleva.
Nyimbo zake nyingi ni fleva zaki Nigeria.
Ushauri: Anguko lake lipo karibuni namshauri abadilike mapema iwezekanavyo
Bdozen
Kama akianguka yeye wewe Utajenga Ghorofa?
 
Nyimbo zake nyingi za hivi karibuni ni za hovyo sana, halafu nyuma yake kuna wapuuzi wengi wanaosifia upuuzi anaoufanya.
 
natunawakanyaga kweli alaff watamu hao


Juzi nimemkanyaga x wangu akaniambia nimekuwa fundi kama Messi. Nikamwambia ndio maana yake, siku hizi nacheza mechi za kimataifa, sio Ndondo Cup kama hizi. Nafikiri anajuta kunisifia!
 
Juzi nimemkanyaga x wangu akaniambia nimekuwa fundi kama Messi. Nikamwambia ndio maana yake, siku hizi nacheza mechi za kimataifa, sio Ndondo Cup kama hizi. Nafikiri anajuta kunisifia!
na tuendelee kuwakanyaga hakuna namna
 
Back
Top Bottom