JF wajipange.Online Forums na Post ni maneno yanayoonekana kutiliwa mkazo na aliyeandika hii barua.
Swali kichwani mwangu: Kwanini amri hii imetolewa Jumapili na kwanini inatakiwa kutekelezwa mara moja?
Huko kwingine ni zuga tu mlengwa ni JF. Imefika hatua serikali inatunga sheria kwa ajili ya JFOnline Forums na Post ni maneno yanayoonekana kutiliwa mkazo na aliyeandika hii barua.
Swali kichwani mwangu: Kwanini amri hii imetolewa Jumapili na kwanini inatakiwa kutekelezwa mara moja?
Ooooho ...Online Forums na Post ni maneno yanayoonekana kutiliwa mkazo na aliyeandika hii barua.
Swali kichwani mwangu: Kwanini amri hii imetolewa Jumapili na kwanini inatakiwa kutekelezwa mara moja?
Kwani JF imesajiliwa au bado?,kama tayari basi tukaeni na kuendelea kupost kama kawaida.Online Forums na Post ni maneno yanayoonekana kutiliwa mkazo na aliyeandika hii barua.
Swali kichwani mwangu: Kwanini amri hii imetolewa Jumapili na kwanini inatakiwa kutekelezwa mara moja?
Online Forums na Post ni maneno yanayoonekana kutiliwa mkazo na aliyeandika hii barua.
Swali kichwani mwangu: Kwanini amri hii imetolewa Jumapili na kwanini inatakiwa kutekelezwa mara moja?
tunasubiri waje wakanusheLabda Nayo Atajitokeza Wakusema Barua Hiyo Batili
Mlizoea holelaKwa manbo haya,CCM hii ni lazima ianguke tu.
Kila mtu na kila kundi katika jamii sasa limekuwa mhanga wa huu utawala hivyo sioni ni namna gani chama hiki kinaweza ku-survive kwenye uchaguzi ulio huru na wa haki.
Naona imeandikwa, pengine Mbinguni, CCM hii ni lazima ianguke sasa.
Tunakokwenda itakuwa ni kazi hata kucheza na matokeo na itakuwa ni rahisi sana kushinda mahakamani kwa jinsi watakavyokataliwa katika sanduku la kura.
Wataikana keshoHii barua mbona inasema tarehe 11 Juni wakati leo tarehe 10 Juni?
Imepangwa kusambazwa kesho, kifupi haijakamilikaMamlaka ya Mawasiliano Tanzania, TCRA imetoa notisi leo na kuwataka wanaotoa huduma za kimtandao(maudhui) ambao hawajajisajili kusitisha mara moja utoaji wa huduma.