Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 9,993
- 12,449
idio, hivi tangu lini sheria na taratibu zinakusiana na chama??? Hivi ulivyo la ajabu, mbona huko limbowe lenu limeng'ang'ania uenyekiti na mpo kimya????? Yaani mijitu imekuwa haina akili kabisa yaani kila kitu cha kiutendaji imekuwa ni CCM, CCM, utadhani TCRA inaongozwa na muongozo au sheria za CCM, yaani mnachekesha. Ina maana kama UKAWA wangeshinda leo hii kila msimamo wa vyombo vya serikali na mashirika tungewalaumu UKAWA????? Yaani mambo ya kisheria tuache watendaji wafanye kazi tuache mihemuko ya kuonesha uwezo mdogo wa akili. Sema kingine JF imejaa vitoto vitotoKwa manbo haya,CCM hii ni lazima ianguke tu.
Kila mtu na kila kundi katika jamii sasa limekuwa mhanga wa huu utawala hivyo sioni ni namna gani chama hiki kinaweza ku-survive kwenye uchaguzi ulio huru na wa haki.
Naona imeandikwa, pengine Mbinguni, CCM hii ni lazima ianguke sasa.
Tunakokwenda itakuwa ni kazi hata kucheza na matokeo na itakuwa ni rahisi sana kushinda mahakamani kwa jinsi watakavyokataliwa katika sanduku la kura.