Kanuni za CAF Kuelekea nusu fainali

Kanuni za CAF Kuelekea nusu fainali

Movic Evara

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
209
Reaction score
488
Kanuni za CAF Kuelekea nusu fainali ;

◉ Hakuna dakika za nyongeza (Extra time) ikitokea timu zimetoka suluhu ndani ya dakika 90', mikwaju ya penati itaamua timu ipi isonge nusu fainali.

◉ Goli la ugenini litatumika ikitokea timu zimetoka sare. Aliyefunga goli ugenini ataenda nusu fainali.
 
Simba ana kazi ya kupata goli zaidi ya 1 bila kukubali droo wala kufungwa. Ushindi wowote wa kuanzia 1-2, 2-3 n.k Simba kapita, droo yoyote katoka, ushindi wa 0-1 penati.
 
Mtani, unatakiwa ushindekuanzia goli 2 ndo uingie nusu fainali..!! Wale nyoko kuwafunga 2 kwao sahau..!!
Kupata goli 2 inawezekana. Tatizo ni kupata hizo goli mbili huku wewe hufungwi na unafunguka. Kiwango cha Ayoub ndo kitaamua.
 
Back
Top Bottom