Kanuni moja mpya ya kuoana

Kanuni moja mpya ya kuoana

kwani usipopewa kuna ubaya gani?
na kama kweli pesa ndio mapenzi, kwann ke asitoe hela na yeye! au mapenzi ni kwa upande m1 tuu?

He!.....sisi ni wababes......hatuwezi kutoa hela.........khaaaa..........
 
Tumegundua mbinu mbili mpyaaaaaa,.......
Haki ya nani lazima wadada walie,....
Hata ulete shobo utaambulia patupu,.....


 
wanawake wanapenda pesa balaah ila kuendelea kwao ni mmoja kwa million moja,
 
Kuna ukweli katika hayo mkuu NOKIALUMIA sema wanawake nao hawaeleweki kuwa mkweli tu kwa hali yako..
 
Last edited by a moderator:
Mwanamke hata kama anamiliki saloon, lakini lazma akuombe hela ya kusukia.
 
Kwani binamu bado una search tu...???

Sio kwangu binamu........ni kwa wanawake wenzangu wanaonyanyasika na huu unyanyasaji.........tunanyanyaswa sana na maneno kama haya..........women support women you know........hi hi hi hi........
 
Sio kwangu binamu........ni kwa wanawake wenzangu wanaonyanyasika na huu unyanyasaji.........tunanyanyaswa sana na maneno kama haya..........women support women you know........hi hi hi hi........

ndio mfumo, chagua mabadiliko.....
 
Back
Top Bottom