sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Last edited by a moderator:
Kama unataka kuongeza wa 2
Au service road...
Mkuu unakuta binti kwao hata stuli hawana ila anapenda makuu sana anapenda aonekane yeye ndio yeye.mtu anataka iphone 6 ambayo kama ukimpa hiyo hela anaweza lima na kupata zaidi ya hiyo 1.2mil....
Watoto wa masikini shida sana
daaah nmekulavu ghafla root,kiukwel hao watoto wa masikini ndo wana nyodo balaa,nishawahi kua na demu eti hali ugali wakati kwao anautandika vizuri tu
Aiseee mbona mimi masikini jeurii... simtetemekei mtu wala simuabudu kbsaa... My life my role love me or reject me its fine.
bwana pesa kwanza na kama mapenzi yapo yapo tu
Ukishakuwa na hela tu utawapata tatizo kujua nani mkweli
mapenzi gharamahayo ni mapenzi au unauza?
Sio vizuri mjue nyie wanaume kusema hivyo...........mnatukwaza........
Sio vizuri mjue nyie wanaume kusema hivyo...........mnatukwaza........
Si ushauri tu umetolewa tena kwa wasiooa sasa wewe mpendwa kimekukera nini tena
Nimekereka kwa sababu........kwa nini pesa iwe tatizo.....?.....Kwani ukimpa mwenzio pesa kuna ubaya gani........?........