Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 513
Lazima angepita tu.
Mtawavurugia wafiwa, sasa hata akina Azan na Six wataghairi kutoa rambirambi!
Mtawavurugia wafiwa, sasa hata akina Azan na Six wataghairi kutoa
rambirambi!
Kumbe Kanumba alikuwa amechukua kadi ya chadema na alikuwa amepanga kugombea Shinyanga mjini kwa tiketi ya Chadema. Chadema tumempoteza mmoja wetu. RIP
Source: Heche
Wakuu mbona ili lilikua wazi muda mrefu sana?!!Kwa mtu kama Kanumba aliyekua na msingi mzuri wa elimu(form six leaver na si STD seven leaver),aliyejipigania kwa jasho na ubunifu wake mpaka akawa na mafanikio ya kimaisha,ilikua ngumu sana kwa yeye kuwa katika chama chenye dhuluma,uuaji na ujambazi wa rasilimali za nchi, R.I.P KAMANDA S.C.KANUMBA
Kumbe Kanumba alikuwa amechukua kadi ya chadema na alikuwa amepanga kugombea Shinyanga mjini kwa tiketi ya Chadema. Chadema tumempoteza mmoja wetu. RIP
Source: Heche
Mtawavurugia wafiwa, sasa hata akina Azan na Six wataghairi kutoa rambirambi!
r.i.p kamanda