Kansai Paint kujenga kiwanda cha rangi Tanzania

Kansai Paint kujenga kiwanda cha rangi Tanzania

Ah swahiba Kwema!lkn viwanda tutafisikia kwenye bomba tu mpk 2020 ikifika mtupeni marejesho viwanda vikatavyokuwepo

Ova
Kwema swahiba. Inshallah utapata mrejesho. Maana awamu hii mboga moto ugali moto mkuu. Chagua bega...tehe tehe.
 
Utaumia sana ukiwa na roho ya kwa nini kwa Utawala huu wa Magufuli. Ndo kwanza hata miaka miwili hajamaliza bado mingine minane, unasumbuka kukanusha maujanja kibao aliyofanya Magufuli kwa kipindi kifupi, huku wengine wakitumia miaka mingi kuyatekeleza.
Hamna lolote kila kitu siasa nyie.....blah blah

Ova
 
Kwema swahiba. Inshallah utapata mrejesho. Maana awamu hii mboga moto ugali moto mkuu. Chagua bega...tehe tehe.
Awamu hii ni maneno tu naona mkulu Kaanza kampeni mapemaaa kila Siku kampeni,sjui kesho atakwenda wapi

Ova
 
Tuliahidiwa kuwa nchi itakuwa sio ya misaada tena ila sisi ndo tutoe misaada matokeo yake kila siku tunapokea misaada kutoka kwa wazungu ..haya nchi ya viwanda tulitegemea viwanda tujenge sisi wenyewe matokeo yake wanakuja wageni kujenga viwanda tena kwa kuahidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliahidiwa kuwa nchi itakuwa sio ya misaada tena ila sisi ndo tutoe misaada matokeo yake kila siku tunapokea misaada kutoka kwa wazungu ..haya nchi ya viwanda tulitegemea viwanda tujenge sisi wenyewe matokeo yake wanakuja wageni kujenga viwanda tena kwa kuahidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo aliyekuwa anapinga msaada Ndy wa kwanza kukinga bakuli la kupokea pesa toka nje
Kweli hii nchi ya v wonder

Ova
 
Awamu hii ni maneno tu naona mkulu Kaanza kampeni mapemaaa kila Siku kampeni,sjui kesho atakwenda wapi

Ova
Tuombe uzima mwakani muda kama huu nitakupa offer ya seafood platter cape town fish market huku tukijadili hizi mambo za viwanda....at the same time ukiwa unacheza "step" kupitia wimbo wa CCM mbele kwa mbeleeeeee.
 
Tuombe uzima mwakani muda kama huu nitakupa offer ya seafood platter cape town fish market huku tukijadili hizi mambo za viwanda....at the same time ukiwa unacheza "step" kupitia wimbo wa CCM mbele kwa mbeleeeeee.
Swahiba hapo umepaona penyewe watu tushaenda sehemu zaidi ya hapo!
Ndomana derevva wetu inabidi tumsaidie apate. Exposure
Nkirudi kwenye mada!nchi hii chini ya ccm hata yesu arudi tena na kuondoka tena hakuna kitakacho badilika

Ova
 
Swahiba hapo umepaona penyewe watu tushaenda sehemu zaidi ya hapo!
Ndomana derevva wetu inabidi tumsaidie apate. Exposure
Nkirudi kwenye mada!nchi hii chini ya ccm hata yesu arudi tena na kuondoka tena hakuna kitakacho badilika

Ova
Hapo ni sehemu mimi na wewe swahiba tunaweza kutulia kwa maongezi ya kusikilizana bila kusikia miluzi na kelele za vijana wa Ufipa. Au kama utaona sawa kwa ruzuku ya Chama tukayaongelee haya Atmosphere restaurant @ Burj Khalifa....yote kheri tu swahiba.
 
Washamjulia ngosha. Kila anayekuja anampigisha story za viwanda., akishapata anachotaka anakitoa zake.
 
Aiseee! Kila anaekuja kumsalimia anaingilia kwa gia la kiwanda ili uwepo wake utambulike.

Nakumbuka raisi wa visiwa vya comoro alikuja bila agenda ya viwanda akarudi kwake bila kutambulika vizuri kama mwenzake wa Morocco waliyefika kwa pamoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya Kijapani inayoitwa Kansai Paint inatarajia kujenga kiwanda kikubwa cha rangi Afrika.

Ahadi hiyo imetolewa kupitia aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Japan wakati akimtembelea Rais Magufuli.

Kampuni hii ni maarufu katika maswala ya rangi na mapambo(decoration).

Kwa wale wanaopenda mpira hii ndio kampuni inayoifadhili Timu ya Manchester United(official painter for ManU)

Kansai Paint Co., Ltd

My Take:
Naiona Tanzania ya Viwanda Ikishamiri kwa kasi.

[HASHTAG]#Hapakazitu[/HASHTAG]

Wadau;
Ni kweli Kabisa Kansai Plascon Japan inakuja hapa nchini,kuja kwake nchini kunatokana na wao Kansai Plascon Japan kununua kampuni ya Sadolin EA Ltd,Wameanza Uganda na juzi wamekubaliana na Sadolin hapa, kuhusu Kenya nadhani wanasubiri kujionea mstakabali wa hali yao ya kisiasa kwani Siasa za Kenya si za Majukwaani tu Kama hapa, bali hata Wanasiasa wengi nchini humo ndio wa walioshikilia uchumi na Biashara Kubwa Kubwa.. Asanteni TB
 
Wadau;
Ni kweli Kabisa Kansai Japan inakuja hapa nchini,kuja kwake nchini kunatokana na wao Kansai Japan kununua kampuni ya Sadolin EA Ltd,Wameanza Uganda na juzi wamekubaliana na Sadolin hapa, kuhusu Kenya nadhani wanasubiri kujionea mstakabali wa hali yao ya kisiasa kwani Siasa za Kenya si za Majukwaani tu Kama hapa, bali hata Wanasiasa wengi nchini humo Ndio wa walioshikilia Biashara Kubwa Kubwa.. Asanteni TB
Link hii hapa...
Kansai Plascon acquires Sadolin Paints
 
Back
Top Bottom