usitafute hoja onesha viwanda gamba. tumechoka kila mgeni akija nchini mnasema tunajengewa viwanda huku miaka inazidi kuyoyoma.msitufanye mafala. viwanda vitajengwa na watanzania.Naitafuta hoja yako kwa tochi!
usilete siasa kwenye uchumi gamba.niambie ni kiongozi gani aliyetoka nje akaja kuahidi kujenga kiwanda hapa Tanzania na kikajengwa?Huna taarifa ya viwanda alivyozindua Magufuli?
ahadi ya jana ni mfano tu.zimeshatolewa ahadi nyingi sana mpaka leo tunangoja.mimi binafsi msiniingize kwenye huo ujuha wa kusubiri kujengewa viwanda na nchi zingine.Dah hivi wewe mzima kweli?
Ahadi imetolewa jana leo unataka uone kinanya kazi?
na magufuli ile nyumba aliyomnunulia hawara ake pale mwanza mtaichukua.?Ngoja tumnyang'anye utakijua vilivyo!
Vp nyumba za serikali zitarudishwa maana nyumba mliuziana Mln tano tanoHivi zile operesheni za Chadema ziliishia wapi?
sera ya viwanda na hapakazitu zilitolewa 2015 na kiukweli kazi imefanyika.
Nipe kiwanda kimoja tu kilichosajiliwa chenye vyerehani vinne au vitano!
By the way ukiwa na vyerehani vinne na ukawa producer wa nguo maarufu nchini kuna shida?
Mwambieni Mbowe arejeshe ardhi aliyopewa kwa ajili ya kuweka kiwanda na akashindwa kwa visingizio vya kitoto.
au unasema kiwanda cha baresa,au KILE cha tiles cha wachina ......serikali wanejenga kiwanda gani unachosema,viwanda vinajengwa daily,kama huamini nenda kipande ya mkuranga industrial area uone
Kaenda kwenye ukweli sahv ndomana mnamnyanganya mali zakeWaziri mkuu mstaafu ana jibu!
Wazee wa kunyolewa bila wembeWazee wa MIGA wanafura sana
tulishaambiwa kitajengwa kiwanda cha Honda na Panasonic na wajapan mpaka leo ni hadith toka enzi za mkwere. washakuja waturuki hapa tukaambiwa tunajengewa kiwanda cha nguo mpaka leo holla akaja mchina akasema Tanzania ndio itakuwa center ya viwanda barani Africa mpaka leo hakuna kinachoendelea. binafsi nachukizwa sana na huu utaratibu wa viongozi wa nje kuja hapa nchini na kusema watajenga viwanda na wakishaondoka ndio mwisho wa stori.Tuwekee mifano mkuu
Utaumia sana ukiwa na roho ya kwa nini kwa Utawala huu wa Magufuli. Ndo kwanza hata miaka miwili hajamaliza bado mingine minane, unasumbuka kukanusha maujanja kibao aliyofanya Magufuli kwa kipindi kifupi, huku wengine wakitumia miaka mingi kuyatekeleza.Viwanda vinajengwa Kwa midomo tu!
Hvi mpaka sasa mshajenga viwanda vingapi vile?
Ova
Mtakufa kwa kihoro, wivu Na hasiraViwanda vinajengwa Kwa midomo tu!
Hvi mpaka sasa mshajenga viwanda vingapi vile?
Ova
Hata bomba la gesi mlisema ni maneno matupu!
viwanda vinajengwa daily,kama huamini nenda kipande ya mkuranga industrial area uone
tulishaambiwa kitajengwa kiwanda cha Honda na Panasonic na wajapan mpaka leo ni hadith toka enzi za mkwere. washakuja waturuki hapa tukaambiwa tunajengewa kiwanda cha nguo mpaka leo holla akaja mchina akasema Tanzania ndio itakuwa center ya viwanda barani Africa mpaka leo hakuna kinachoendelea. binafsi nachukizwa sana na huu utaratibu wa viongozi wa nje kuja hapa nchini na kusema watajenga viwanda na wakishaondoka ndio mwisho wa stori.