Kansai Paint kujenga kiwanda cha rangi Tanzania

Kansai Paint kujenga kiwanda cha rangi Tanzania

Kansai Paint is the first paint manufacturer in the world to enter into an official global partnership contract with the English football team, Manchester United Football Club Ltd. Possessing over 659 million fans worldwide, Manchester United is a major football club at the top of the sporting world both in name and reality.

Never content to rest on the laurels of a glorious history coloured with numerous victories, Manchester United always focuses on the road ahead, continuing to aim for new heights and take on new challenges whilst always putting their fans first. This overlaps with Kansai Paint’s own attitude; since our founding, we have engaged in business with an enterprising spirit to gain the trust and satisfaction of our customers. Based on our shared ideology of pleasing our customers and delivering a wealth of colour to their lives, we intend to work together with Manchester United towards the goal of becoming true global leaders. It is our sincerest hope that this will be a brilliant partnership for both parties.

In response to the partnership, Mr Ishino, Representative Director of Kansai Paint stated that “Both Kansai Paint and Manchester United Football Club have a long history of success and a deep desire to succeed in the future. I am confident that this partnership will enable Kansai to develop not only its presence in new markets but will also augment its position in existing markets,” He further added that “Kansai’s partnership with Manchester United is a further demonstration of Kansai’s desire to become a global leader in the coatings industry.”



Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiwanda cha nyama kikubwa afrika kutoka Misri kilichoelezwa jana vipi? Kiwanda cha Honda , Panasonic vipi? hivi nyie ccm akili zenu zinafanya kazi kweli. mnaahidiwa kujengewa viwanda mnachekelea kama mazuzu vile. hivi mnadhani Japan mpaka kufikia nchi ya viwanda walikuwa wanacheka na watu kana profesa Lipumba kama mnavyofanya nyie hapa Tanzania. Poor CCM
 
Viwanda Tanzania vitajengwa na watanzania. hizi siasa mnazotuletea hazitusaidii watanzania.msitufanye mafala sisi nyie CCM
 
kiwanda cha nyama kikubwa afrika kutoka Misri kilichoelezwa jana vipi? Kiwanda cha Honda , Panasonic vipi? hivi nyie ccm akili zenu zinafanya kazi kweli. mnaahidiwa kujengewa viwanda mnachekelea kama mazuzu vile. hivi mnadhani Japan mpaka kufikia nchi ya viwanda walikuwa wanacheka na watu kana profesa Lipumba kama mnavyofanya nyie hapa Tanzania. Poor CCM
Naitafuta hoja yako kwa tochi!
 
Viwanda Tanzania vitajengwa na watanzania. hizi siasa mnazotuletea hazitusaidii watanzania.msitufanye mafala sisi nyie CCM
Mbowe alipewa ardhi ya kujenga kiwanda kaachia pori tu.Shame on you!
 
Taratibu kamanda usije kupasua keyboard/screen kwa jazba.
Tulia tupake rangi Tanzania.
Ah swahiba Kwema!lkn viwanda tutafisikia kwenye bomba tu mpk 2020 ikifika mtupeni marejesho viwanda vikatavyokuwepo

Ova
 
Ah swahiba Kwema!lkn viwanda tutafisikia kwenye bomba tu mpk 2020 ikifika mtupeni marejesho viwanda vikatavyokuwepo

Ova
Ni hivi majuzi tu Rais alizindua viwanda halafu kuna watu wanasema ni maneno tu.
Tafuteni hoja nyingine kwani hii ya viwanda mtafulia pia!
 
Mkuu hukumsikia waziri mwenye dhamana? Aliaema ukiwa na cherehani 3 tayari hicho ni kiwanda. Tz ya porojoporojo inasikitisha sana
Duh basi balaaa mbona wanaingia kwenye juhudi za watanzania binafsi,sisi tnataka viwanda walivyojenga wao serikali maana kila Siku viwanda Kwa midomo tu

Ova
 
Duh basi balaaa mbona wanaingia kwenye juhudi za watanzania binafsi,sisi tnataka viwanda walivyojenga wao serikali maana kila Siku viwanda Kwa midomo tu

Ova
Kwa upofu wako usije kusema unasubiri viwanda vilivyojengwa na Chama cha Mapinduzi.
 
Kwa upofu wako usije kusema unasubiri viwanda vilivyojengwa na Chama cha Mapinduzi.
Viwanda mmeviua wenyewe alafu mtaka kuvifufua Kwa midomo tu!
Kwani kazi ya serikali ni nini kujenga viwanda lkn kutwa nchi ya viwanda hii inajengwa ki abunaswi

Ova
 
Viwanda vinajengwa Kwa midomo tu!
Hvi mpaka sasa mshajenga viwanda vingapi vile?

Ova
Daah afadhari kuna mgawanyo wa kazi na mimi sio rais.! Vinginevyo watu kama nyie ilikuwa wa kupigwa risasi hadharani ili sumu ya upuuzi wenu isienee kwenye kizazi kijacho.!
huwa nadhani yule rais wa Korea kaskazini yuko sahihi sana kwa maamuzi anayochukua kwa watu wenye akili kama zenu.
rejea biblia pia Mungu aliamua kupasua ardhi kisha kizazi cha Kora wote wakamezwa ardhini..
sabbu kwa spirit kama hiyo yako unahitaji kipaji cha pekee kuwavumilia watu kama nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah afadhari kuna mgawanyo wa kazi na mimi sio rais.! Vinginevyo watu kama nyie ilikuwa wa kupigwa risasi hadharani ili sumu ya upuuzi wenu isienee kwenye kizazi kijacho.!
huwa nadhani yule rais wa Korea kaskazini yuko sahihi sana kwa maamuzi anayochukua kwa watu wenye akili kama zenu.
rejea biblia pia Mungu aliamua kupasua ardhi kisha kizazi cha Kora wote wakamezwa ardhini..
sabbu kwa spirit kama hiyo yako unahitaji kipaji cha pekee kuwavumilia watu kama nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlikuja na Sri mpya nguvu mpya mkaja maisha bora Kwa kila mtz,mkaja hapa kazi tu hapo hapo mkabadilisha Gia angani n'a nchi ya viwanda ......
Viwanda mmeviua nyie chichiem leo mtaka kuvirudisha ki mdomomdomo
Syo viwanda vipo maana tushambiwa ukiwa n'a cherehani 5 tayari kiwanda,wale wachomelwaji mageti nao ni viwanda dah

Ova
 
kiwanda cha nyama kikubwa afrika kutoka Misri kilichoelezwa jana vipi? Kiwanda cha Honda , Panasonic vipi? hivi nyie ccm akili zenu zinafanya kazi kweli. mnaahidiwa kujengewa viwanda mnachekelea kama mazuzu vile. hivi mnadhani Japan mpaka kufikia nchi ya viwanda walikuwa wanacheka na watu kana profesa lipumbavu kama mnavyofanya nyie hapa Tanzania. Poor CCM
Dah hivi wewe mzima kweli?

Ahadi imetolewa jana leo unataka uone kinanya kazi?
 
Mlikuja na Sri mpya nguvu mpya mkaja maisha bora Kwa kila mtz,mkaja hapa kazi tu hapo hapo mkabadilisha Gia angani n'a nchi ya viwanda ......
Viwanda mmeviua nyie chichiem leo mtaka kuvirudisha ki mdomomdomo
Syo viwanda vipo maana tushambiwa ukiwa n'a cherehani 5 tayari kiwanda,wale wachomelwaji mageti nao ni viwanda dah

Ova
Hivi zile operesheni za Chadema ziliishia wapi?
sera ya viwanda na hapakazitu zilitolewa 2015 na kiukweli kazi imefanyika.

Nipe kiwanda kimoja tu kilichosajiliwa chenye vyerehani vinne au vitano!

By the way ukiwa na vyerehani vinne na ukawa producer wa nguo maarufu nchini kuna shida?

Mwambieni Mbowe arejeshe ardhi aliyopewa kwa ajili ya kuweka kiwanda na akashindwa kwa visingizio vya kitoto.
 
Dah hivi wewe mzima kweli?

Ahadi imetolewa jana leo unataka uone kinanya kazi?
Usihangaishwe na hao watoto waliongia Jf kuangalia ni jinsi gani ya kuapply chuo!
 
Back
Top Bottom