funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 39,148
- 31,679
Kampuni ya Kijapani inayoitwa Kansai Paint inatarajia kujenga kiwanda kikubwa cha rangi Afrika.
Ahadi hiyo imetolewa kupitia aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Japan wakati akimtembelea Rais Magufuli.
Kampuni hii ni maarufu katika maswala ya rangi na mapambo(decoration).
Kwa wale wanaopenda mpira hii ndio kampuni inayoifadhili Timu ya Manchester United(official painter for ManU)
Kansai Paint Co., Ltd
My Take:
Naiona Tanzania ya Viwanda Ikishamiri kwa kasi.
[HASHTAG]#Hapakazitu[/HASHTAG]
Ahadi hiyo imetolewa kupitia aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Japan wakati akimtembelea Rais Magufuli.
Kampuni hii ni maarufu katika maswala ya rangi na mapambo(decoration).
Kwa wale wanaopenda mpira hii ndio kampuni inayoifadhili Timu ya Manchester United(official painter for ManU)
Kansai Paint Co., Ltd
My Take:
Naiona Tanzania ya Viwanda Ikishamiri kwa kasi.
[HASHTAG]#Hapakazitu[/HASHTAG]