Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Habari zilizonifikia sasa hivi zinasema kwamba majambazi wamevamia katika kanisa la Christian mission fellowship ambalo liko sinza kituo cha mugabe na kumpiga risasi ya mguu mtumishi mmoja wa kanisa hilo , haijulikani wameiba bei gani au ni nini walichochukuwa umo ndani ya kanisa
Walioshuhudua tukio hilo wanasema watu hao walikuwa ni 2 walificha silaha yao kwa nyuma mmoja mweusi mfupi alivaa shati jekundu na mwingine mrefu alivaa shati ya mauwa pamoja na kofia
Wakati tunaelekea katika sherehe hizi za christmass na mwaka mpya matukio ya kihalifu yanaongezeka sana , watu wawe makini na shuguli zao za kila siku na kama una wasiwasi na mtu wowote au kitu chochote bora kutoa taarifa kwa vyombo vinavyohusika na usalama wa raia na mali zao
Walioshuhudua tukio hilo wanasema watu hao walikuwa ni 2 walificha silaha yao kwa nyuma mmoja mweusi mfupi alivaa shati jekundu na mwingine mrefu alivaa shati ya mauwa pamoja na kofia
Wakati tunaelekea katika sherehe hizi za christmass na mwaka mpya matukio ya kihalifu yanaongezeka sana , watu wawe makini na shuguli zao za kila siku na kama una wasiwasi na mtu wowote au kitu chochote bora kutoa taarifa kwa vyombo vinavyohusika na usalama wa raia na mali zao