Kanisa la Pentekoste linahitaji kutazamwa upya USAJILI wake, limetoa usaji kwa kanisa la ZUMARIDI anayejiita mungu CHINI ya JUA. HUENDA VIONGOZI WA PENTECOSTE WALIPOKEA RUSHWA KULIPA USAJILI HILI KANISA KWA KATIBA YAO,nafikiri kilichofanyika mwanza watu wameshuudia uhuni wa hili kanisa,waumini wanapambana na shetani Kwa kuharibu miti