Kanisa la mkandamizaji

Kanisa la mkandamizaji

Kila nikiona kanisa la masanja mkandamizaji na wale waumini huwa nakumbuka wale jamaa wanaochezesha micheZo ya karata tatu pale ubungo au ule utapeli wa kuzungusha mkanda,unaweza ukapita ukaona watu wanakula pesa mnoo Kumbe wale wote ni group moja,ww ukicheZa unaishia kulambwa pesa,the same Kwa kanisa la uyu mchekeshaji wa lumumba yani kanisa zima limejaa ndugu na jamaa zake sasa ww nenda pale ndio utakua ndio muongeza mupesa kwenye hazina ya yule anayejiita mchungaji,Kwa utafiti wangu masanja huwa anawapa wale raia pesa Za kumtunza
Si vibaya ndugu wakisali pamoja.
 
Kila nikiona kanisa la masanja mkandamizaji na wale waumini huwa nakumbuka wale jamaa wanaochezesha micheZo ya karata tatu pale ubungo au ule utapeli wa kuzungusha mkanda,unaweza ukapita ukaona watu wanakula pesa mnoo Kumbe wale wote ni group moja,ww ukicheZa unaishia kulambwa pesa,the same Kwa kanisa la uyu mchekeshaji wa lumumba yani kanisa zima limejaa ndugu na jamaa zake sasa ww nenda pale ndio utakua ndio muongeza mupesa kwenye hazina ya yule anayejiita mchungaji,Kwa utafiti wangu masanja huwa anawapa wale raia pesa Za kumtunza
Jiongezee kipato kuingia JF na kumuandika kijana aliyefanikiwa ki wivu wivu wa kisichana haiongezi pato lako ,pambana na yako haujafika bado
 
Mkandamizwaji heli mwanamke Malaya anae fanya umalaya kwa maslahi ya Familia kuliko mlokole. kila pesa hata ya Ada ya watoto ni kwa ajili ya kanisa. Maneno ya swahiba Wangu Hadi Leo sijawahi kuyaelewa
 
Kila nikiona kanisa la masanja mkandamizaji na wale waumini huwa nakumbuka wale jamaa wanaochezesha micheZo ya karata tatu pale ubungo au ule utapeli wa kuzungusha mkanda,unaweza ukapita ukaona watu wanakula pesa mnoo Kumbe wale wote ni group moja,ww ukicheZa unaishia kulambwa pesa,the same Kwa kanisa la uyu mchekeshaji wa lumumba yani kanisa zima limejaa ndugu na jamaa zake sasa ww nenda pale ndio utakua ndio muongeza mupesa kwenye hazina ya yule anayejiita mchungaji,Kwa utafiti wangu masanja huwa anawapa wale raia pesa Za kumtunza
Tupia kapicha mkuu ili inoge
 
Uzuri pale panatotoz za vyuo balaa kuna totoz moja ya ifm niliipa lift ilikua imetokea hapo church mi nilitokea pub ya mtaa ule..totoz iko vzur ni balaa...ndo ikanambia lile kanisa ni la mkandamizaji na huwa kuna usafiri unapita vyuoni
 
Basi Masanja ana ndugu wengi, kama wote wale ni ndugu zake
 
Hii tabia ya maskini kuchukia tajiri sijui itaishi lini hapa tz!
.
 
Mjanja mmoja anamiliki wajinga kumi.... "Waacheni wajinga waje kwangu kwa maana ufalme wa ufala ni wao"... Masanja 12:3-7
.. ...
 
Kila nikiona kanisa la masanja mkandamizaji na wale waumini huwa nakumbuka wale jamaa wanaochezesha micheZo ya karata tatu pale ubungo au ule utapeli wa kuzungusha mkanda,unaweza ukapita ukaona watu wanakula pesa mnoo Kumbe wale wote ni group moja,ww ukicheZa unaishia kulambwa pesa,the same Kwa kanisa la uyu mchekeshaji wa lumumba yani kanisa zima limejaa ndugu na jamaa zake sasa ww nenda pale ndio utakua ndio muongeza mupesa kwenye hazina ya yule anayejiita mchungaji,Kwa utafiti wangu masanja huwa anawapa wale raia pesa Za kumtunza

😂 😂 😂
 
Kabla hujamjaji pastor masanja kwanza fanya uchunguzi yeye Kama yeye ana miradi mikubwa ikiwemo mashamba Sasa naona umeamua kumchafua mtumishi wa Mungu siyo vizuri Mungu hapendi
Tena kashatumia hela nyingi sana kutoka mfukoni kulifikisha kanisa lake pale lilipo ukizingatia ni jipya. Kuna makanisa mengi sana ya wanaojiita mitume au manabii ambao miaka kibao kwenye game ila makanisa yao masanja kawaacha mbali sana. Hata gwajiboy kapigwa bao na mkandamizaji
 
Na akili zako timamu unaenda kusali kwa Masanja? Nitaipenda Dini ya kiislamu maisha yangu yooote.
 
Bushiri wamemfirisi majuzi tu hapa huko SA!
Next move ya masanja ni kutafuta ubunge km gwaji boy,na jamaa ni chawa wa Mataga hatari!
 
Back
Top Bottom