Kanisa la mkandamizaji

Kanisa la mkandamizaji

Sio chuki binafsi masanja ni SNITCH

Mcgungaji gani ambaye anathubutu kupanda kwenye majukwaa ya kisiasi na kudhihaki afya ya mtu mwingine kwa kuigiza kajinyea?

Kipindi mitandao imefungwa Masanja alishawahi kusema kwamba kuna watu wanasambaza uongo kwamba serikali imepoga ban twitter eti mpaka vpn wakati mimi natumia bila vpn
Ok nimekupata ina kukaa na kumsema mtu kibaazani sindo umvea wenyewe .
 
Ndugu sio rahisi kuanzisha kanisa kama unavyofikiri kwa umaarufu aliokuwa amefikia masanja wewe unaona option aliyokuwa amefikia masanja ni kuanzisha huduma/kanisa?pamoja na madhaifu aliyonayo masanja si vema kunyoosha kidole cha hukumu moja kwa moja.
 
Nguvu ya saikolojia. Ukiielewa namna inavyofanya kazi na ukaitumia vema unaweza kuwa millionaire ndani ya muda mchache sana.

Huyo unayemkubali sana elewa tu kaweza kukuteka kisaikolojia.

Siasa na uchumi na kila kitu is all about psychology.

Katika shughuli yoyote ile jifunze jinsi ya kuteka saikolojia ya wale unaowahitaji, bishara, siasa na hata uongozi.

Ukisikia jamaa yuko very smart, siyo kwamba ni smart hivyo, ila ni kaweza tu kuteka saikolojia yako umuone hivyo.
 
Ok nimekupata ina kukaa na kumsema mtu kibaazani sindo umvea wenyewe .
Hii ni public forum tuna discuss vitu, mtu, hadi idea ambayo ni ya kufikirika

Masanja hayupo katika miiko ya kiuchungaji ukimtazama kwa jicho la tafakuri utaona kuna kitu anataka akifiche kupitia uchungaji.

Usipagawe na zile mbwembwe za twitter kila siku ana post "PRAY", "SALI" ukadhani kwamba anamaanisha he's just fooling around
 
Sasa hivi matapeli wengi wameivaia hii tasnia ya kiimani ili kupata vipato vijk0ubwa kwa uwekezaji mdogo!

Eti ununue key holder kariakoo either ya gari ama nyumba then ukapokee muujiza wako!!
 
Back
Top Bottom