GE2025 Kanisa Katoliki toeni tamko ya kugomea chaguzi za kitapeli

GE2025 Kanisa Katoliki toeni tamko ya kugomea chaguzi za kitapeli

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,892
Tumesali novena sawa lakini ni unafiki kwenda kwenye chaguzi ambazo kwa kila namna hazina maana na tayari tume imeweka mfumo wa kura fake. ! Sasa wakatoliki twende kupiga kura fake!

Toeni tamko tuache uoga na unafiki
 
Naunga mkono hoja.

Humphrey Polepole ametufanya tuijue ile kweli na sasa kweli inatuweka huru.

Naliomba kanisa lisiombee uchaguzi huu feki maana uchaguzi siyo tukio ni mchakato, sasa mchakato umeshakuwa haramu utaombeaje kitu haramu kifanikiwe?. Badala yake naliomba kanisa liweke msiamamo, reforms zifanyike ili liombee kitu halali!.
 
Forum ya siasa ni kuanzisha chama, waambie waanzishe. Kama mkitaka fitna, ikiundwa alliance ya dini nyingine dhidi yenu hamtoboi na wengi mtaishia The Heague kama wale wakatoliki wa Rwanda waliokuwa wanachinja watu
 
Tumesali novena sawa lakini ni unafiki kwenda kwenye chaguzi ambazo kwa kila namna hazina maana na tayari tume imeweka mfumo wa kura fake. ! Sasa wakatoliki twende kupiga kura fake!

Toeni tamko tuache uoga na unafiki
kwani kanisa ni chama cha siasa gentleman? :pedroP:
 
Tumesali novena sawa lakini ni unafiki kwenda kwenye chaguzi ambazo kwa kila namna hazina maana na tayari tume imeweka mfumo wa kura fake. ! Sasa wakatoliki twende kupiga kura fake!

Toeni tamko tuache uoga na unafiki
Toa wewe
Sisi tuna utaratibu wetu
 
Sio lazima litangaze, kila mtu ana akili zake
 
Siku ukijua hao ni akina nani na CCM ni akina nani utakuwa umejifunza jambo kubwa sana duniani.

Ukijua kwanini China, Japan, South Korea nk zimeendelea na Tanzania ni masikini utakuwa pia umejua hao ni akina nani.

Ukombozi unaletwa na watu wenyewe watakapoamua kuidai haki na kujipigania, ukombozi hauletwi kwa watu kukaa gizani JF na kusubiria scrips na umbea.

safarini Khartoum Sudani.
 
Back
Top Bottom