Kanisa katoliki linahitaji reforms

Ilikuaje wakateka viongozi wa kanisa
 
Sasa siasa Kali wamekataa mbwa asiingie msikitini,

Wale majirani wanadai eti huo ni ubaguzi wa wanyama!

Cc Tlaatlaah
 
Kanisa limejiingizakwenye siasa weeeee sasa limeshtuka ikiwa late

Kama ilivyokua Kwa magu na mkapa… Akija mkristu litapoa tena
Kama wewe sio mnafiki utakumbuka...sio Magufuli Hayati alilikasirikia kanisa mpaka akamsemq askofu wake sio raia?
 
Anzisheni kabisa lenu mlipangie
 
Sijasoma ila wacha nicheke😄😄😄
 
Ataongea huko misikitini kwao.
 
Wamekasirika Padri Kitima kushambuliwa halafu hakuna cha uchunguzi wala taarifa ya tukio hilo kutoka kwa viongozi wa Serikali.
 
Catholic will never bow down to anyone!

Kanisa ni moja, takatifu, Katoliki la Mitume! Kanisa limesema, hakuna yeyote wa kupanua midomo
Huwezi shindana na kanisa katoliki,Roma lucuta causa finita.hiyo imekwisha hata mtanue midomo na huyo mama yenu, ambaye Yuko nyuma ya watekaji wote hamtafanikiwa siku zinahesabika wote tupo hapa tuweke akiba ya maneno,kumbuka Tanzania kuna watu wa aina mbili,wa kwanza wenye AKILI na wa pili wale wasio na akili ambao hata uwezo wa kujua hatari ktk Taifa hawana kwa sababu ni wadudu hivyo sio wanadamu ni chawa tu.
 
Achana na hayo Mambo, kanisa linadumu kwa ajili UKALE (MAPOKEO)
 
Kazi ipo kama akili za watz ndo hizi
 
Bora tupate mkristu ajaye asiwe RC

ITALETA AMANI

Kwani nani anayekataza mkristu wa dhehebu lingine asiwe Rais?

Tunahangaika sana na mambo ambayo yametuzidi uwezo.

Hatuishi milele. Mwakani, mengi tunayoyaona ya maana leo, pengine yatakuwa tofauti.

Tanzania ni zaidi ya tunavyoiona. Tuache kujidanganya
 
The time is now

80% ya chokochoko Zina misosi ya udini

Kuna wachache wamejimilikisha rights
 
TEC nawaamini sana. Najua kuna milio mikubwa zaidi inakuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…