Kanisa katoliki linahitaji reforms

Hilo ni gumu kwasababu wote hao mtaji wao ni wananchi.Kwahiyo lazima kwanamna fulani waingiliane kwa namna yakung'ata na kupuliza.
Tatizo ccm wao wanajiona wana nguvu kuingia kanisani, lakini hawataki kanisa liwasilishe siasa kwa wananchi au waumini wao.

Hapo ndio mgogoro ulipo, kama wanataka kuchora mstari basi katoliki wameanza, ccm nao wauchore wao au waukoleze wino mstari wa katoliki.
 
W
Linahitaji Reform kwa sabubu mmepigwa kwenye mshono na bado kingine kizito kinakuja
We ni taahira? Nani kapigwa kwenye mshono? Samia anahitaji kwenda kusalimia kwa hayo mapumbavu? Rais ana majukwaa mengi sana na mialiko imejaa anatuma wawakilishi, atatafuta nini kanisani, wamejistukia alivyowapuuza ili kuficha aibu ndio maana wamekuja na huo upuuzi wao.
 
Serikali haiwezi kushindana na kundi lolote la kijamii, yako makundi mengi sana nchi hii RC ni kundi moja tu
 
Mnajitafutaa kila.mahali

Tumewapiga kwenye mshono kama mnajiweza lifungieni na hilo kama mna ubavuuu.
Vichawaa tuu na vikunguni vinatusumbua mtaani ,

Huyo unayemzungumzia aende asiendee halituhusuu as well as ni kiongozi wa kisiasa burn inamuhusu.

Fungeni na hilo

Awe nani hatopewa nafasi hiyo ndio taarifa iliyopo .
 
Bila ht aibu anaiita roma? Roma? Makao makuu ya Italia? Nyumbu tu nyie hakuna mnayeweza kumbabaisha. Mtakaa na gundu letu Rais wetu akidunda. P
Pombe iko wapi, we umekunywa mkojo wa paroko? Wazungu wenyewe wanawadharau, majinga tu nyie
Matusi ya nini, dhibiti hisia jibu kwa hoja
 
No Reform No election
 
Jamani si tumekubaliana kuwa tusichanganye dini na siasa
 
Kuzuia siasa makanisani ni reform pia.

Walitakiwa waende mbali waseme na viongozi wa kikatoliki wasipokee mialiko yoyote ya wanasiasa.

Hii itasaidia pande zote, siasa zisiletwe kanisani, na dini zisiletwe kwenye siasa.

Kila mmoja akae na ale kwao.
Inatakiwa iwe hivyo.
 
Mashetani hao.
 
Well tofauti ni kwamba catholic walikuja muwekea ngumu hadi akamind na kuwawekea vinyongo, ali atempt kutaka kuwajengea kanisa karib na kwake
Wakachomoa

Siku zake za mwisho alishuka na walikuja kumuombea
 
Hilo nalo ni jipu kwa nini Waislam wapewe nafasi kujenga misikiti kwenye maeneo ya Wakristo lakini Wakristo w
hawaruhusiwi kujenga makanisa sehemu zilizojaa Waislam kwa kisingizio kuwa ni makafiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…