Kanisa Katoliki laanzisha bima yake ya afya kwa ajili ya waumini wao baada ya kuona wanahangaika

Hii nchi imejaa wajinga wengi sana na ndio mtaji huu
Wameona fursa baada ya serikali kutema bungo yenyewe kuona wananchi wanachangia kiduchu huku magonjwa yanazidi kuwa chronic, mara figo sijui saratani
Halafu hawa wenye elimu ya upupu wa teoligia ya teofili kisanji ndio waendeshe bima 🤣🤣🤣
Sababu ya msingi ya kufeli NHIF ni serikali na watumishi wa NHIF kukopa mfuko. Serikali inazunguka mbuyu!
 
Hii nchi imejaa wajinga wengi sana na ndio mtaji huu
Wameona fursa baada ya serikali kutema bungo yenyewe kuona wananchi wanachangia kiduchu huku magonjwa yanazidi kuwa chronic, mara figo sijui saratani
Halafu hawa wenye elimu ya upupu wa teoligia ya teofili kisanji ndio waendeshe bima 🤣🤣🤣
Katoliki wana Dispensary zao na hospital kila mkoa na wana za rufaa Tanzania kama Bugando nk na wanazo kubwa zaidi nje ya nchi ulaya,marekani Asia nk yalipo makanisa katoliki mgojwa akizidiwa hahitaji kibali cha wizara ya afya kuwa referred hospital zao nje ya nchi

Bakini na utapeli wenu wa NHIF mtajua mtakakoupeleka

Katoliki hawauhitaji na waumini wao
 
Sababu ya msingi ya kufeli NHIF ni serikali na watumishi wa NHIF kukopa mfuko. Serikali inazunguka mbuyu!
Bima ya serikali haishiwi hela, na kwanza ni unapokuwa na bima ya NHIF ni proof of guarantee kuwa gharama zitalipwa na serikali.
Lakini kwa kuwa gharama za matibabu kuihalisia zimekuwa kubwa kuliko michango ya wananchi , serikali imeaanza kujitoa polepole, ni kitu hakiwezekani kwa nchi ya dunia ya tatu kuwa na bima ya kila mwananchi, ni uwongo uliotukuka.
Sasa hawa maaskofu wamepata mwanya wa fursa, mbona bima zipo nyingi tu kwa wafanyakazi na wanatibiwa huko Aga Khan na kwingineko,
 
NHIF:
~ Viongozi na Wafanyakazi; Matumizi Mabaya ya Ofisi.
~ Usimamizi Mbovu wa Serikali kwa Shirika.

Kanisa Katoliki;
~ Itoshe Kusema 'MZIKI HUU HAWAUWEZI'.

Kama kweli unataka Bima ya Afya. Nenda ukakate kwa Kampuni Binafsi mfano; Strategies, Jubilee n.k.
 
Katoliki wana Dispensary zao na hospital kila mkoa na wana za rufaa Tanzania kama Bugando nk na wanazo kubwa zaidi nje ya nchi ulaya,marekani Asia nk yalipo makanisa katoliki mgojwa akizidiwa hahitaji kibali cha wizara ya afya kuwa referred hospital zao nje ya nchi

Bakini na utapeli wenu wa NHIF mtajua mtakakoupeleka

Katoliki hawauhitaji na waumini wao
Ndio mnadanganyana hivi huko kwa baba paroko
 
Hii nchi imejaa wajinga wengi sana na ndio mtaji huu
Wameona fursa baada ya serikali kutema bungo yenyewe kuona wananchi wanachangia kiduchu huku magonjwa yanazidi kuwa chronic, mara figo sijui saratani
Halafu hawa wenye elimu ya upupu wa teoligia ya teofili kisanji ndio waendeshe bima 🤣🤣🤣
Kule Zanzibar ipo miaka kibao chini ya uislamu ,eti leo ndio wanaanzisha kwa mbwembwe...Hiyo Bima haina misingi ya kikristo ni wafanyabiashar tu😅😅.

Wana bank ila riba kama zote hawa watu hawajui misingi ya dini yao kazi kufanya biashara.
 
NHIF:
~ Viongozi na Wafanyakazi; Matumizi Mabaya ya Ofisi.
~ Usimamizi Mbovu wa Serikali kwa Shirika.

Kanisa Katoliki;
~ Itoshe Kusema 'MZIKI HUU HAWAUWEZI'.

Kama kweli unataka Bima ya Afya. Nenda ukakate kwa Kampuni Binafsi mfano; Strategies, Jubilee n.k.
Mfano wataendesha hiyo Bima kwa misingi ipi ? Maana hakuna misingi ya kikristo kweny bima labda ya kupata faida ya kidunia.
 
Back
Top Bottom