Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 62,011
- 156,364
Nanukuu "Tunaanguka hatiani kwa namna tofauti"Ilikuwa ni sehemu ya utani tu ili kuunogesha uzi wa mkuu KENZY
JF ndiyo burudani yetu, Ni sehemu ya kujifunza mawili matatu, Na zaidi sana ni mahali pa kupunguzia misongo.
Shemeji haliwi mkuu hivyo usituchukulie isivyo.
Isitokee kesho na keshokutwa ukatumaindi au ukashindwa kutupatia msaada hata wa ya huduma ya kwanza wakati tumekata moto ukijua tulimuwazia shemela wetu.
mahondaw ilikuwa ni sehemu ya kuusogeza muda na kunogesha uzi wa mkuu wetu, Hivyo tunaomba msituchukulie tofauti.
Miaka 6-8 hivi nyuma, Mke wa jamaa yangu alitaka kunitia majaribuni, Jamaa yake alikuwa na VIDOSHO lukuki nje.
Mimi nikamtembelea SHEMELA kumliwaza na kumsaidia vishughuli maana watoto wake walikuwa shule za boarding.
Nikaosha tu vyombo pale na kusugua sugua sufuria, Lakini shemela aka-change, macho legevu na mikogo ya hapa na pale.
Akaniuliza, Kwa hofu, "nikikupa utaweza"? Nikasema "SIWEZI"
Nikasema, "NAENDA DUKANI NARUDI", Niliunga kwa MZEE JUMLA wala SIKURUDI.
Tunaanguka hatiani kwa namna tofauti.