Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Dokta nimeshaingiaWow bebe kumbe unajua kwenda na vina vya o o o eeh.
Mie ni zaidi ya bando kwako
Nakujaza ujazike kama tigo
Kwenye chumba cha kutibia
Fanya haraka uje baby...
Dokta nimeshaingiaWow bebe kumbe unajua kwenda na vina vya o o o eeh.
Mie ni zaidi ya bando kwako
Nakujaza ujazike kama tigo


kuwa na mwanaume kafupi uwe na moyo na ww mtafute mfupi zaidi yko mbona wapoNipo njiani jiandaeDokta nimeshaingia
Kwenye chumba cha kutibia
Fanya haraka uje baby...
DuuuhTatizo watu wafupi nyie wabishi sana..
Merely true
Fanya haraka baby,mwenzio nshapandisha mashetaniNipo njiani jiandae
Nikukute upo without
Ndo nini?Merely true
Basi acha niwahi tuliamshe dudeFanya haraka baby,mwenzio nshapandisha mashetani

HeeeeeeNdo nini?
Habari za majukumu wanajukwaa..!
Rejea kichwa ahapo juu, Nimemtongoza kwa zaidi ya miaka miwili kanikataa kwa sababu tu niko mfupi., Ingawaje hata yeye sio Ngongoti.,,
Anasema eti itakua kituko siku ya harusi yeye akivaa michuchumio, itabidi nipande juu ya stuli kumchumu ...!! Maneno hayo yote kampa rafiki yake ambaye ni rfk yangu pia hajaniambia mimi direct..!