kantalambazi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 2,011
- 650
Never trust a woman, she will make you sorry.
Wana jamvi nawasalimu,
Kuna msichana wangu ambae tumedumu nae kwa miaka 2 sasa, elimu yake ni form six, alifeli, tulipanga mipango mingi ya maisha pamoja, ikiwemo kufunga ndoa.
Tukaona kwamba ni vema na yeye apate kazi ndipo tuweze kufunga ndoa, kikwazo ikawa ni shule, ni makampuni machache yanayoweza kuchukua form 6 failure.
Kuna sehemu ikapatikana nafasi ila walihitaji Diploma holder minimum qualification, akaniomba fedha aweze kutengeneza cheti cha form 6 na Diploma, jumla ilitakiwa laki nne na nusu, nikampa.
Kuna jamaa mmoja yupo Mwenge huwa anafanya kazi hizo, ni bingwa kwa kweli, vyeti vilipotoka nikaoneshwa sikuamini macho yangu, huwezi kugundua, akaingia kazini kwa vyeti hivyo, na sasa anakaribia miezi Nane, juzi nastukia ananiambia yeye ameamua kuolewa amepata mchumba, sikuamini macho yangu, nimefuatilia wiki yote hii nimegundua muoaji yupo kampuni hiyo hiyo.Nimembembeleza aseme tatizo nini hataki ananikwepa na hali zote.
Wadau nimeamua niende kumchomea ili asikie na mimi navyosikia.
Mnasemaje?
Kwann mnapenda kuwalea hawa mafisadi wa mapenzi???..Malipo hapahapa duniani..Acha achomeweSamehe hautapungukiwa kitu
Kwann mnapenda kuwalea hawa mafisadi wa mapenzi???..Malipo hapahapa duniani..Acha achomewe
na wewe ni wa kukamata umefanikisha uhalifu.
Wana jamvi nawasalimu,
Kuna msichana wangu ambae tumedumu nae kwa miaka 2 sasa, elimu yake ni form six, alifeli, tulipanga mipango mingi ya maisha pamoja, ikiwemo kufunga ndoa.
Tukaona kwamba ni vema na yeye apate kazi ndipo tuweze kufunga ndoa, kikwazo ikawa ni shule, ni makampuni machache yanayoweza kuchukua form 6 failure.
Kuna sehemu ikapatikana nafasi ila walihitaji Diploma holder minimum qualification, akaniomba fedha aweze kutengeneza cheti cha form 6 na Diploma, jumla ilitakiwa laki nne na nusu, nikampa.
Kuna jamaa mmoja yupo Mwenge huwa anafanya kazi hizo, ni bingwa kwa kweli, vyeti vilipotoka nikaoneshwa sikuamini macho yangu, huwezi kugundua, akaingia kazini kwa vyeti hivyo, na sasa anakaribia miezi Nane, juzi nastukia ananiambia yeye ameamua kuolewa amepata mchumba, sikuamini macho yangu, nimefuatilia wiki yote hii nimegundua muoaji yupo kampuni hiyo hiyo.Nimembembeleza aseme tatizo nini hataki ananikwepa na hali zote.
Wadau nimeamua niende kumchomea ili asikie na mimi navyosikia.
Mnasemaje?
Wana jamvi nawasalimu,
Kuna msichana wangu ambae tumedumu nae kwa miaka 2 sasa, elimu yake ni form six, alifeli, tulipanga mipango mingi ya maisha pamoja, ikiwemo kufunga ndoa.
Tukaona kwamba ni vema na yeye apate kazi ndipo tuweze kufunga ndoa, kikwazo ikawa ni shule, ni makampuni machache yanayoweza kuchukua form 6 failure.
Kuna sehemu ikapatikana nafasi ila walihitaji Diploma holder minimum qualification, akaniomba fedha aweze kutengeneza cheti cha form 6 na Diploma, jumla ilitakiwa laki nne na nusu, nikampa.
Kuna jamaa mmoja yupo Mwenge huwa anafanya kazi hizo, ni bingwa kwa kweli, vyeti vilipotoka nikaoneshwa sikuamini macho yangu, huwezi kugundua, akaingia kazini kwa vyeti hivyo, na sasa anakaribia miezi Nane, juzi nastukia ananiambia yeye ameamua kuolewa amepata mchumba, sikuamini macho yangu, nimefuatilia wiki yote hii nimegundua muoaji yupo kampuni hiyo hiyo.Nimembembeleza aseme tatizo nini hataki ananikwepa na hali zote.
Wadau nimeamua niende kumchomea ili asikie na mimi navyosikia.
Mnasemaje?
mwache amuharibie mwanamke wenyewe hana maanaAchana nae kabisa huyo... msahau kabisa, na siku ikibumbuluka, we haikuhusu, kwenye vyeti lipo jina lake, na aliyekwenda kutengenezesha ni yeye wala siyo wewe, wewe ulitoa pesa tu, na pesa zina matumizi mengi, hiyo kesi ya vyeti haikuhusu kama hautajitia kimbele mbele, kumbuka ukisanua yapo maswali utaulizwa utakosa majibu yake, na kuonekana kuwa unahusika na kughushi nyaraka za serekali,
je, umejuaje kama mtu, huyo ana vyeti feki
je, wewe ni mwajiri wake?
je, ilikuwaje ukagundua kama mtu huyu anatumia vyeti feki,
"basi kutokana na uchunguzi we ni mtuhumiwa namba 2..
bora ukae mbali... achana nae kabisa...
Kaka hawa wanawake ndo walivyo.Mimi nakushauri yafuatayo:Wana jamvi nawasalimu,
Kuna msichana wangu ambae tumedumu nae kwa miaka 2 sasa, elimu yake ni form six, alifeli, tulipanga mipango mingi ya maisha pamoja, ikiwemo kufunga ndoa.
Tukaona kwamba ni vema na yeye apate kazi ndipo tuweze kufunga ndoa, kikwazo ikawa ni shule, ni makampuni machache yanayoweza kuchukua form 6 failure.
Kuna sehemu ikapatikana nafasi ila walihitaji Diploma holder minimum qualification, akaniomba fedha aweze kutengeneza cheti cha form 6 na Diploma, jumla ilitakiwa laki nne na nusu, nikampa.
Kuna jamaa mmoja yupo Mwenge huwa anafanya kazi hizo, ni bingwa kwa kweli, vyeti vilipotoka nikaoneshwa sikuamini macho yangu, huwezi kugundua, akaingia kazini kwa vyeti hivyo, na sasa anakaribia miezi Nane, juzi nastukia ananiambia yeye ameamua kuolewa amepata mchumba, sikuamini macho yangu, nimefuatilia wiki yote hii nimegundua muoaji yupo kampuni hiyo hiyo.Nimembembeleza aseme tatizo nini hataki ananikwepa na hali zote.
Wadau nimeamua niende kumchomea ili asikie na mimi navyosikia.
Mnasemaje?