Kanda ya ziwa mkichagua kanda ya kaskazini, basi tajua mazuzu ni wengi. Situkani wala kukashfu, bali naeleza kulingana na kanda ya kaskazini kujinadi kuwa lazima watoe rais awamu hii.
Mbona jaziba sanaaaa kwa inshu za kisiasa...? kiukweli magufuli hapaswi kutoa ahadi mpya kwa wingi anapaswa kuonyesha mafanikio ya serikali iliyopita akiwa kama waziri wa serikali hiyo na kuonyesha jinsi ilani ilivyotekelezwa na wapi yeye ataanzia...
Mapadlocks ndio habar ya ikulu, wengine wasindikizaji tyuuuuu.
LOWASA kaskazini amefanya nini hadi achaguliwe? usiwafundishe watu maamzi huo ushauri kampe mkeo #Hapa kazi tu.
Wewe katika maidha yako uliahidi vingapi na kutimiza vingapi? Unajua kama serikali ni mzazi na ana watoto wengi na hivyo anaset priority ili kukamilisha mambo yake kwa weredi?
teh teh teh Makwaia alizembea mwaka 1961 nchi ikaenda Butiama, mwaka huu hatuwezi kurudia makosa ya wazee wetu nchi lazima ibaki nyumbani kwa sababu uwezo tunao.!!!
LOWASA kaskazini amefanya nini hadi achaguliwe? usiwafundishe watu maamzi huo ushauri kampe mkeo #Hapa kazi tu.
Acheni kutugawa Kwa siasa zenu za ukanda, kila mtu anayo haki ya kuchagua chama hakipendacho.Ushauri wangu kwa watu wa ukanda wa ziwa kabla hamja pokea ahadi mpya naombeni mulize kuhusu meli mbili alizo aidi kikwete. Mkipewa meli hizo basi chagueni ccm
Cry Tanzania. Those trained to help the country are now in the forefront to vandalise the little revenue and savings we have.
1. The president and his cabinet, are in perpetual trips abroad. Flying first/business class, staying in the lavish 4/5 star hotels for weeks, acumulating for themselves thousands of per diems, all paid by the TZ coffers. Shameless?? With the availability of fast speed internet in Tanzania and embassies all over the world, can't these people stay at home and carry out their duties from their offices and save the country's resources?
2. The JK government is full of luxurious vehicles which are mainly used in private business. Why not have a controlled Car Pool that is shared by everyone whenever needed including the honorable ministers?
3. Those who are paid super salaries by the same government that can not pay the teachers, are also remunerated heavily with posh cars, houses, maids e.t.c.? Why? .......Did they compete for these jobs?
4. If these positions needs to be superbly remunerated in order to get and keep the best and the brightest, why then not advertise the job so that the best can compete and work responsibly?
Wana CCM amkeni, JK na watu wake wanaimaliza nchi.
Ili tuendelee, sasa tunahitaji vitu vitatu;
1. JK aondoke madarakani ASAP
2. JK aondoke madarakani ASAP
3. JK aondoke madarakani ASAP
Kuna ziwa huko simiyu? watu wa kagera,mza,mara na geita ndo wamelengwa bwana,huyu wa simiyu hajitambui
chikwete tunamdai meli uku bukoba,maghufuli asipokuja nayo tunamzomea na kura tunampata el
Balekage duhu abise magufuli nduhu guchagula limasai isambo sana.Hivi unawajua wasukuma unawasikia? Hakuna watu wanapenda vyao kama wao, nawahakikishia magufuli ushindi wake utatoka kanda ya ziwa, yombagi doh abasukuma gatogilwe mashikolo gakong'wabho doh
Ahsante mkuu hawa mafisadi wanadhani akili zetu wanaweza kuzihongq kama wanavyowahonga wajinga wezao huko.Da umempa za uso hadi nimefurahi.
Labda kunageita nyingine kibosho.mimi npo Geita,watu wanasema mamvi tu