Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,259
- 219,481
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Kamati ya Utendaji ya CHADEMA kwenye ile kanda kabambe ya Nyasa imemaliza vikao vyake kwa ajili ya Maandalizi ya Oparesheni 255.
Oparesheni hiyo Kabambe ina lengo la kuwaamsha Wananchi juu ya Umuhimu wa Katiba mpya ikiwa ni pamoja na kuwafundisha Uzalendo wa kulinda Rasilimali zao zikiwemo Bandari za Tanganyika.
Angalizo: Kama wewe ni Mzalendo na una uchungu na Mali za Nchi hii, na labda una roho nyepesi, basi tafadhali sana usihudhurie kabisa Mikutano ya Oparesheni hii, maana madudu yaliyofanyika Nchi hii yanayoenda kufumuliwa hadharani ni mazito mno, yanaweza kabisa kukuletea kiharusi ama pengine kukusababishia Umauti.
Usije kusema hatukukujulisha.
Oparesheni hiyo Kabambe ina lengo la kuwaamsha Wananchi juu ya Umuhimu wa Katiba mpya ikiwa ni pamoja na kuwafundisha Uzalendo wa kulinda Rasilimali zao zikiwemo Bandari za Tanganyika.
Angalizo: Kama wewe ni Mzalendo na una uchungu na Mali za Nchi hii, na labda una roho nyepesi, basi tafadhali sana usihudhurie kabisa Mikutano ya Oparesheni hii, maana madudu yaliyofanyika Nchi hii yanayoenda kufumuliwa hadharani ni mazito mno, yanaweza kabisa kukuletea kiharusi ama pengine kukusababishia Umauti.
Usije kusema hatukukujulisha.