Natokea Kanda Maalum
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 750
- 1,318
Mbona mnajimu mkuu wa kambi ya kanda maalum sijatagiwa hapa?
Kila penye nia pana njia, tutafika tu kakaView attachment 523591uchawi wetu bado una safari ndefu kufikia hatua hii
kinitwaje" hicho kijiji""?Morogoro Kuna kijiji wana mahakama ya wachawi inahukumu ukiloga,wazee wanakupima unakili kosa mwenyewe ....wenyewe wanasema mahakama ya kimila.
usiniambie" moro ni wachawi kiasi hicho ""?Hii ndyo moro bana waulizen watu wa sumbawanga wamesalit amri
Kumbe Mheshimiwa Rais haujui ukweli wa chanzo cha ajali, anaonea tu watu.Where there is a demand there is always a supply
Vile vifo vingi mfululizo vilivyotokana na ajali mwezi wa tatu mwaka jana mpaka leo hakuna mwenye maelezo yaliyonyooka japo kuna watu fulani wanajua kila kitu na kwanini karibia zote zilitokea kanda hii
Shetani"Hebu niambie nini chanzo cha uchawi..? means historia ya uchawi na asili ya nguvu hizo ni nini..?


unajua maana ya historia..?Shetani"
Una taka kujua nin juu ya swali lako la awaliunajua maana ya historia..?