Kanda maalum ya ushirikina

Kanda maalum ya ushirikina

_DSC4898_medium.jpg
 
Pamoja na utaalamu wao wote wameshindwa kuwajua wauaji wanaotusumbua zaid ya kufitinisha ndugu ndo wanachokiweza na si ya maendeleo
 
Where there is a demand there is always a supply
Vile vifo vingi mfululizo vilivyotokana na ajali mwezi wa tatu mwaka jana mpaka leo hakuna mwenye maelezo yaliyonyooka japo kuna watu fulani wanajua kila kitu na kwanini karibia zote zilitokea kanda hii
Kumbe Mheshimiwa Rais haujui ukweli wa chanzo cha ajali, anaonea tu watu.
 
Back
Top Bottom