Kanda maalum ya ushirikina

Kanda maalum ya ushirikina

Vip sumbawanga?
Na je utatusahau vp watu wa morogoro-Malinyi zaman ikijulikana ulanga ambako kulikuwa na bibi aliekuwa anawatoa uchawi na kuacha kabisa na kuwa mtu mwema hata uwe mchawi wa wapi hapa tz.
Tena ukiuliza kwa bibi lazma ufikishwe kwake
Nawasilisha hoja
Bibi kalembwane
 
Vip sumbawanga?
Na je utatusahau vp watu wa morogoro-Malinyi zaman ikijulikana ulanga ambako kulikuwa na bibi aliekuwa anawatoa uchawi na kuacha kabisa na kuwa mtu mwema hata uwe mchawi wa wapi hapa tz.
Tena ukiuliza kwa bibi lazma ufikishwe kwake
Nawasilisha hoja
Bibi kalembwane
 
Vip sumbawanga?
Na je utatusahau vp watu wa morogoro-Malinyi zaman ikijulikana ulanga ambako kulikuwa na bibi aliekuwa anawatoa uchawi na kuacha kabisa na kuwa mtu mwema hata uwe mchawi wa wapi hapa tz.
Tena ukiuliza kwa bibi lazma ufikishwe kwake
Nawasilisha hoja
Kwa Bibi Kalembwani!
 
View attachment 397023kila kinachotokea kwenye ulimwengu wa macho ya kawaida ni replica ya ulimwengu wa roho! (Ushirikina ni mkusanyiko wa juju uchawi ulozi chumaulete kuwanga nk)
Tunapozungumzia kanda maalum ya kitu maana yake ni kwamba eneo hilo lina uhitaji wa ziada wa huduma fulani
..mfano Dar kwa sasa ni kanda maalum ya kipolisi kutokana na matukio ya ujambazi kushamiri! Kariakoo kwa sasa ni kanda maalum ya kodi za mamlaka ya mapato Tanzania kutokana na uhitaji wake!
Eneo lote la pwani ya Dar nenda mpaka bagamoyo msata wami pangani mbwewe mkata mpaka tanga mjini ni kanda maalum ya ushirikina
Hapa ndio kuna vilinge vingi vya ushirikina kuliko sehemu nyingine yoyote Tanzania, hapa ndio kuna wachawi waganga na walozi(kwa ujumla wao washirikina wa kila aina)
Hapa ndo kuna kila aina ya matibabu kuanzia miti shamba tunguli kisomo mpaka uganga/uchawi wa kitabu
Unaweza kwenda mikoani na sehemu tofauti kama gambosh nk lakini ukashindwa kwa hakika kukutana na ushirikina halisi....huu ukanda hukosi
View attachment 397030
Kwanini ukanda huu lakini?
Mazingira na jiografia yanaruhusu, malighafi za baharini na nchi kavu vinapatikana kwa wepesi urahisi na kwa wingi! Taka viungo vya binadamu hupati shida! Taka makombe na mazao bahari mengine ni rahisi mno! Taka variaties ya mizizi miti magome na hata matunda na majani huku sio tatizo kabisa
Lakini kwanini isiwe ndani ya Dar na ni nje ya Dar na maeneo ya karibu au mbali kidogo?
Ushirikina ni mambo ya kiroho zaidi yasiyo na ithibati za kisayansi! Yanahitaji ukimya utulivu upweke usiri uchache wa watu na kitu chochote kilichoendelezwa na binadamu kwenye ulimwengu wa teknolojia..teknolojia na usasa ni sumu kubwa kwenye ushirikina
Unaposhuhudia misafara isiyokoma kwa waheshimiwa sana Unaposhuhudia ajali za kila siku! Unaposhuhudia upotevu wa watu wazima na watoto! Unaposhuhudia mambo ya ajabu ajabu usishangae sana bali jua kwamba uko karibu kabisa na ukanda maalum wa kishirikina View attachment 397053
Usisahau na kule kifula na mriti ugweno
FB_IMG_1565798553981.jpeg
 
Back
Top Bottom