Kanda maalum ya ushirikina

Kanda maalum ya ushirikina

Inategemea na aina ya uchawi
Japo sizijui hizo aina za uchawi ila nimepata kitu kidogo. Sasa mkuu kutokana na uzoefu wako siku ikitokea wachawi wakianzisha bifu na mtifuano kati ya hawa wa pwani na wale wa bara unafikiri ushindi utaenda wapi?
 
Japo sizijui hizo aina za uchawi ila nimepata kitu kidogo. Sasa mkuu kutokana na uzoefu wako siku ikitokea wachawi wakianzisha bifu na mtifuano kati ya hawa wa pwani na wale wa bara unafikiri ushindi utaenda wapi?
Mitifuano ipo mingi tu ni kwa vile haionekani
 
View attachment 397114usafiri wa namna huu ni wa kiwango cha chini sana kuweza kuukuta kwenye kanda maalum..maendeleo kwenye ulimwengu wa kawaida huenda sambamba na maendeleo kwenye ulimwengu wa kiroho..hivi hapa Dar na maeneo ya jirani unaweza kweli kumkuta mtu anafuga fisi?
Sio rahisi, lakini watu wengi wanageuzwa ngamia
 
Kwa kifupi mlevi yoyoyte hawezi kuwa mchawi, atafichua siri, japo anaweza kuwa mnywaji wa kawaida sio kulewa chakari
HAPA umepotosha kabisa, UONGO !!!. Wachawi walevi wapo wengi sana wa pombe na hata bangi!!!
 
View attachment 397114usafiri wa namna huu ni wa kiwango cha chini sana kuweza kuukuta kwenye kanda maalum..maendeleo kwenye ulimwengu wa kawaida huenda sambamba na maendeleo kwenye ulimwengu wa kiroho..hivi hapa Dar na maeneo ya jirani unaweza kweli kumkuta mtu anafuga fisi?
Mkuu Mshana jr samahani,kuna Mzee Fulani alikuwa Lindi yeye kama kuna mbaya wake anataka amdhuri yeye alikuwa anajigeuza Simba fasta anaenda anafanya yake then anarudi kwake,je hilo unalizungumziaje huyu Mzee yupo kisasa au kizamani?
 
Mshana jr je ni kweli wachawi lazima watoe sadaka ya watoto waliowazaa ndio amekamilisha masharti?
 
Mkuu Mshana jr samahani,kuna Mzee Fulani alikuwa Lindi yeye kama kuna mbaya wake anataka amdhuri yeye alikuwa anajigeuza Simba fasta anaenda anafanya yake then anarudi kwake,je hilo unalizungumziaje huyu Mzee yupo kisasa au kizamani?
hicho kipo tu ila kwakuwa siku hizi wanyama kama simba wanatoweka kutokana na sababu mbalimbali hiyo soon itakuwa ya kizamani
 
View attachment 397023kila kinachotokea kwenye ulimwengu wa macho ya kawaida ni replica ya ulimwengu wa roho! (Ushirikina ni mkusanyiko wa juju uchawi ulozi chumaulete kuwanga nk)
Tunapozungumzia kanda maalum ya kitu maana yake ni kwamba eneo hilo lina uhitaji wa ziada wa huduma fulani
..mfano Dar kwa sasa ni kanda maalum ya kipolisi kutokana na matukio ya ujambazi kushamiri! Kariakoo kwa sasa ni kanda maalum ya kodi za mamlaka ya mapato Tanzania kutokana na uhitaji wake!
Eneo lote la pwani ya Dar nenda mpaka bagamoyo msata wami pangani mbwewe mkata mpaka tanga mjini ni kanda maalum ya ushirikina
Hapa ndio kuna vilinge vingi vya ushirikina kuliko sehemu nyingine yoyote Tanzania, hapa ndio kuna wachawi waganga na walozi(kwa ujumla wao washirikina wa kila aina)
Hapa ndo kuna kila aina ya matibabu kuanzia miti shamba tunguli kisomo mpaka uganga/uchawi wa kitabu
Unaweza kwenda mikoani na sehemu tofauti kama gambosh nk lakini ukashindwa kwa hakika kukutana na ushirikina halisi....huu ukanda hukosi
View attachment 397030
Kwanini ukanda huu lakini?
Mazingira na jiografia yanaruhusu, malighafi za baharini na nchi kavu vinapatikana kwa wepesi urahisi na kwa wingi! Taka viungo vya binadamu hupati shida! Taka makombe na mazao bahari mengine ni rahisi mno! Taka variaties ya mizizi miti magome na hata matunda na majani huku sio tatizo kabisa
Lakini kwanini isiwe ndani ya Dar na ni nje ya Dar na maeneo ya karibu au mbali kidogo?
Ushirikina ni mambo ya kiroho zaidi yasiyo na ithibati za kisayansi! Yanahitaji ukimya utulivu upweke usiri uchache wa watu na kitu chochote kilichoendelezwa na binadamu kwenye ulimwengu wa teknolojia..teknolojia na usasa ni sumu kubwa kwenye ushirikina
Unaposhuhudia misafara isiyokoma kwa waheshimiwa sana Unaposhuhudia ajali za kila siku! Unaposhuhudia upotevu wa watu wazima na watoto! Unaposhuhudia mambo ya ajabu ajabu usishangae sana bali jua kwamba uko karibu kabisa na ukanda maalum wa kishirikina View attachment 397053
Inawezekana na wewe ni fundi umejuaje?
 
Yaliyomo yamo.
Natafuta mlaalamu wa tego nigawane faida na waume wenza.
 
Vip sumbawanga?
Na je utatusahau vp watu wa morogoro-Malinyi zaman ikijulikana ulanga ambako kulikuwa na bibi aliekuwa anawatoa uchawi na kuacha kabisa na kuwa mtu mwema hata uwe mchawi wa wapi hapa tz.
Tena ukiuliza kwa bibi lazma ufikishwe kwake
Nawasilisha hoja
Morogoro Kuna kijiji wana mahakama ya wachawi inahukumu ukiloga,wazee wanakupima unakili kosa mwenyewe ....wenyewe wanasema mahakama ya kimila.
 
Back
Top Bottom