Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,760
- 19,995
aiseehh....Kuna kigogo naskia yupo ICU ben mkapa hospital
aiseehh....Kuna kigogo naskia yupo ICU ben mkapa hospital
Ni kweli ugonjwa but unaweza kuwa ugonjwa wwte ule.PMR humu huwezi kuipata,ukiitaka nenda kwa familia watakupatia, humu sisi tunajua tu Marehemu kafa kwa ugonjwa na siyo ajali!!
Namshangaa kutwa kulazimisha vifoAmeugua kwa muda mrefu. Hujasoma?
Hata Mapenzi ni Ugonjwa!!Ni kweli ugonjwa but unaweza kuwa ugonjwa wwte ule.
Fuatilia newsUna uhakika?...
Hao watu hawaaminiki .Manake hata huko ubeberuni kwenyeni kuna watu wengi tu wanaikataa hiyo chanjo.Hata huko pia wanafanya promotion ili watu wakubali!Nimekuelewa sana,sema Mimi najiuliza hii nguvu kubwa wanayotumia WHO ni msaada tu wanatufanyia,au kuna gharama lazima tuzilipe sisi!?
😀😀😀... tusiombeane hayo. Ni yohana au ni yob?Hili wazo limenijia zaidi ya mara tatu, kila nikikaa nikitulia naona mazishi ya kitaifa hapo katikati ya nchi.
Hakuna anayebisha mkuu, swali langu ni hata kama umeugua/kaugua muda mrefu je ni ugonjwa gani uliyokuwa unamsumbua? Lakini naona mkuu umepanik bila sababu mpaka umetoka nje ya mada.Subiri siku ukiaanza kuuguwa ndiyo yote hayo utayajuwa! Kua na afya njema isikupe kiburi,muda na wakati wowote Mwili wa Mwanadamu unaweza badilika!!
Ni "kazi" mkuu sidhani kama hii second wave itamwacha salama.... tusiombeane hayo. Ni yohana au ni yob
... tusiombeane hayo. Ni yohana au ni yob?
Atakufa tu Kama walivyokufa madikteta wengineWashenzi nyumbu na dua zenu za kuku, kamwe hazimfikii mwewe. Mnaomba kuwe na Corona, mnaomba magu afe.
How do u feel in your heart wishing ill to somebody and a country, bcoz amewashinda siasani? Na bado 2025, nyumbu mtazidi kuzikwa hadi mbaki kama nccr
Nasikia aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Ndugu Raphael Mollel nae kapumzika.Itakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
Ukishajua?Chanzo cha kifo ni nini ?
Nawapa pole wafiwa
Mkuu usiandike kwa hasira. Ingawa nakuelewa kabisa kwa hizi hasira.Itakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
Ugonjwa wa muda mrefuChanzo cha kifo ni nini ?
Nawapa pole wafiwa
Very serious?Itakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
nitachukua tahadhariUkishajua?
Chukua tahadhari siku zote, ila kifo kiponitachukua tahadhari
Itakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
Kaugua kwa muda mrefu wewe unaleta undezi, patheticItakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.