TANZIA Kanali Mstaafu, Edmund Mjengwa afariki dunia Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma

Nimekuelewa sana,sema Mimi najiuliza hii nguvu kubwa wanayotumia WHO ni msaada tu wanatufanyia,au kuna gharama lazima tuzilipe sisi!?
Hao watu hawaaminiki .Manake hata huko ubeberuni kwenyeni kuna watu wengi tu wanaikataa hiyo chanjo.Hata huko pia wanafanya promotion ili watu wakubali!
 
Subiri siku ukiaanza kuuguwa ndiyo yote hayo utayajuwa! Kua na afya njema isikupe kiburi,muda na wakati wowote Mwili wa Mwanadamu unaweza badilika!!
Hakuna anayebisha mkuu, swali langu ni hata kama umeugua/kaugua muda mrefu je ni ugonjwa gani uliyokuwa unamsumbua? Lakini naona mkuu umepanik bila sababu mpaka umetoka nje ya mada.
 
Washenzi nyumbu na dua zenu za kuku, kamwe hazimfikii mwewe. Mnaomba kuwe na Corona, mnaomba magu afe.
How do u feel in your heart wishing ill to somebody and a country, bcoz amewashinda siasani? Na bado 2025, nyumbu mtazidi kuzikwa hadi mbaki kama nccr
Atakufa tu Kama walivyokufa madikteta wengine
 
Itakua upumuaji..
Hii ngoma inatakiwa sasa iende pale penyewe kabisa..ikamfyeke huyu mshenzi.
Mkuu usiandike kwa hasira. Ingawa nakuelewa kabisa kwa hizi hasira.
Lakini haya ni Maisha tuu. mwisho wa siku wote tutarudi mavumbini. Na hili ndo fumbo kubwa sana la Mwenyezi Mungu kwetu sisi waja wake.
Wengi wamekuja na kuondoka. Kiburi na ubinafsi ni hulka ya mwanadamu. Uisitishike wala kukata tamaa.
Huyu Mungu ni wawote. Mwisho wa giza ni Nuru!
wasalaam,
 
Back
Top Bottom