Kamwe sitakuja kutoa mahari!

Kamwe sitakuja kutoa mahari!

Siku akikufia ndio utajua kwanini wahenga walipata tabu sana,
na kilicho wapelekea kusema misemo yao...
 
Kwa niaba ya wanaume wote wanaojitambua kiakili ni marufuku kutoa mahari ya aina yoyote kwa mwanamke ambaye sio bikra na wala haujamkuta bikra!
Hata kuharibu pesa kwa sababu ya ndoa ni upumbavu uliotukuka!
Cha msingi kwa kumsaidia kaa nae bila kutoa chochote kinachoitwa mahari

Sent by Diaspora

Wewe mwenyewe unakuwaga bikira?
Au unataka mwenzio tu ndio awe bikra!!
It works on both side brother.
 
Kwa niaba ya wanaume wote wanaojitambua kiakili ni marufuku kutoa mahari ya aina yoyote kwa mwanamke ambaye sio bikra na wala haujamkuta bikra!
Hata kuharibu pesa kwa sababu ya ndoa ni upumbavu uliotukuka!
Cha msingi kwa kumsaidia kaa nae bila kutoa chochote kinachoitwa mahari

Sent by Diaspora
true true naunga mkono hoja..unatoa mahali bado anakusumbua anapigwa pigwa nje tu...sitaki kusikia kitu kinaitwa mahari...kama atakubari tukae pamoja tulee mtoto/ watoto basi..hii mambo ya kwenda kutoa sijui 2.5..e.t.c kwangu hapana hela mingi hizo bora ule hata kabata kadogo dogo
 
Kwa niaba ya wanaume wote wanaojitambua kiakili ni marufuku kutoa mahari ya aina yoyote kwa mwanamke ambaye sio bikra na wala haujamkuta bikra!
Hata kuharibu pesa kwa sababu ya ndoa ni upumbavu uliotukuka!
Cha msingi kwa kumsaidia kaa nae bila kutoa chochote kinachoitwa mahari

Sent by Diaspora


Naunga mkono hoja na kwa kweli wanaume tunaojitambua tupeleke pendekezo hili bungeni ili iwe sheria.....Ni marufuku kutoa mahari kwa mwanamke kama si bikra. Ebu fikiria changu kama Wema, Sanchoka, Hamisa, Giggy Money, Diva Bawse Lady, na machangu wengine wasiojitambua wanakuambia mahari yangu milioni 100 for what wakati ni changu tu au cha wote? Wanaume tuache ujinga haswa nyie wa Dar, Pemba, Zanzibar, Tanga, Pwani, this is more than nyege za kijinga....changu hana mahari hata siku moja na hapaswi kuolewa.
 
Back
Top Bottom