Kamwe sitakuja kutoa mahari!

Kamwe sitakuja kutoa mahari!

Nadhani huelewi maana ya ndoa mkuu.. Yani kama alipoteza bikra kwa kubakwa he??

Au na wewe ni bikra mzee mwenzangu.. Na kama sio hao ulio watoa unataka waolewe na nani.. Au kama MTU alitolewa bikra na mpenzi wake kafariki hapo inakuaje asiolewe..

Alafu kwani mahari unalipia bikra au heshima tu kwa familia..??

Usipotoa mahali ni kama umetukana familia yake hujui hilo.. Kuwa makini

Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima gani kwa mtu ambaye siyo bikra,hizo case za kubakwa ukiwa na bikra sijui kufiwa na mchumba sijui Mme ni very rare ...usipokua na bikra(used) means hujajitunza sasa heshima ya nin kiasi upewe mahar
 
Tengeneza ka wife material mwenyewe kuna vitoto vingine vinaenda chuo bado vi bikira ww tafuta amini utakipata kitoboe kikimaliza chuo toa mahari weka ndani ndo tunavofanya bila bikira sioi
 
Kwa niaba ya wanaume wote wanaojitambua kiakili ni marufuku kutoa mahari ya aina yoyote kwa mwanamke ambaye sio bikra na wala haujamkuta bikra!
Hata kuharibu pesa kwa sababu ya ndoa ni upumbavu uliotukuka!
Cha msingi kwa kumsaidia kaa nae bila kutoa chochote kinachoitwa mahari

Sent by Diaspora
Mahari ya nn? Na bikra ni nn?
 
Kuna mwanaume ana hymen,ha ha haaa# povu
I meant Kwanini tu utake bikira wakati wewe ni Mzinifu.
Ipo hivi Mzinifu huoa mzinifu
Chapombe kwa chapombe.
Mshirikina kwa Mshirikina.
Sasa kama ulitulizana utapata aliyetulizana
 
Back
Top Bottom