Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 6,115
- 6,827
Ni kwel ila me naamin mahali ni kuiziana kwa lugha nyinginetrue true naunga mkono hoja..unatoa mahali bado anakusumbua anapigwa pigwa nje tu...sitaki kusikia kitu kinaitwa mahari...kama atakubari tukae pamoja tulee mtoto/ watoto basi..hii mambo ya kwenda kutoa sijui 2.5..e.t.c kwangu hapana hela mingi hizo bora ule hata kabata kadogo dogo
Sent using Jamii Forums mobile app

